Hivi safari ya kilele cha Mlima Kilimanjaro, hawa akina Mangungu, Surndaland na Try Again wanaijua? Ama wanafikiri hapo ni kama kupanda ghorofa?

Hivi safari ya kilele cha Mlima Kilimanjaro, hawa akina Mangungu, Surndaland na Try Again wanaijua? Ama wanafikiri hapo ni kama kupanda ghorofa?

Screenshot_20230716-055545.jpg
Screenshot_20230716-055545.jpg
Screenshot_20230716-055545.jpg
Screenshot_20230716-055545.jpg
 
Nadhani wangetumia njia hiyo ya kurekodi mapema wangekuwa na nafasi zaidi kuongeza ubunifu badala ya kutegemea mambo ya live ambayo yanaweza kuwa na changamoto nyingi. Wangeweza kurekodi njiani pia, wakaunganisha na footage za kiwandani jezi zilipotengenezwa ili kutengeneza kama kadocumentary hivi kakali ka dakika 3. Hapa nawaza idea moja kali sana, labda nitaipenyeza kwa wahusika ili mwakani ifanyiwe kazi.
Kufanya live coverage kutoka mlimani ni changamoto let's wait and see
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu kwani hakuna uhusiano wowote kati ya mpira na kupanda milima. Ingekuwa kuna uhusiano, tungeona club za Ulaya zikipanda mlima Everest ili kupata chachu ya mafanikio. Jiulize, ile tunapata uhuru kuna mwenge wa uhuru uliwashwa hapo mlimani, je ulileta mafanikio yapi ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom