Yanga mnamatatizo na wachezaji wanaoondoka, maana hata mayele aliwalalamikia.Namkumbuka huyu Mzee wa Simba jinsi alivyokuwa na hasira na Yanga hadi muda wote yeye yupo mitandaoni kuikashifu Yanga.
Ni kama Feisal Salum jinsi alivyo na hasira na Yanga. Muda wote anawaza kuikomoa lakini yanageuka na kujikomoa mwenyewe. Yani Mchezaji unakuwa na tabia za kusutanana kuchambana halafu ni dume et.
Usipokuwa simba utakuwa timu gani?Nakumbuka kuna mwandishi alikuwa anaihoji familia ya huyo saido wakadai wao ni mashabiki wa simba lialia na hata walikuwa wanapata shida mzee wao kuchezea yanga wakati kiasili mzee wao ni simba
Mayele alijichanganya mwenyewe kwa mashabikiYanga mnamatatizo na wachezaji wanaoondoka, maana hata mayele aliwalalamikia.
Timu ni nini?Usipokuwa simba utakuwa timu gani?
Mbona unapigana na mtu ambaye anaendelea na maisha yake hajui hata kama upo?Namkumbuka huyu Mzee wa Simba jinsi alivyokuwa na hasira na Yanga hadi muda wote yeye yupo mitandaoni kuikashifu Yanga.
Ni kama Feisal Salum jinsi alivyo na hasira na Yanga. Muda wote anawaza kuikomoa lakini yanageuka na kujikomoa mwenyewe. Yani Mchezaji unakuwa na tabia za kusutanana kuchambana halafu ni dume et.
Ni simbaTimu ni nini?
Mbumbumbu Fc 😎Usipokuwa simba utakuwa timu gani?
Mambo ya ajabu sana haya mkuu,Mtu katulia zake huko anakula pension jamaa analeta hiz stor za kumzungumzia mtu mwenye pesa zake na maisha yakeMbona unapigana na mtu ambaye anaendelea na maisha yake hajui hata kama upo?