Hivi Samatta huwa anafanya makusudi au ishu ni kocha?

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Yule samata wa jana hata angekutana na Italy angewasumbua sana ,jamaa alikuwa moto sana najiuliza ni kwa sababu mzungu alimuweka kushoto? nashangaaaa sana labda alikuwa anatufanyia makusudi akiwa aston villa, Genk na uturuki karudi Royal antwerp anatuonyesha kwamba uwezo nao, siku zote tunamlaumu kwa sababu tunajua uwezo anao sana ni muda mrefu sana sijamuona samata wa jana

Anyway sasa bwana kocha hiyo nafasi ya Lusajo arudi Bocco haraka sana halafu ikibidi nado na lyanga wapewe nafasi...ALL IN ALL HONGERENI SANA WACHEZAJI WETU MAY GOD BLESS BLESS YOU

Hongera za binafsi kwa FEI TOTO,SAMATAA, MUZAMIRU YASIN
 
si kweli kuwa samata hajitumi national team, jamaa anaipenda timu yake uchawi anaocheza nao, tizama kipindi cha pili kwanza alicheza kama winga wa kushoto, jitihada zake na mchango wake alionekana kama amejitolea sababu mipira mingi ilikuwa inamfikia, ila kipindi cha pili baada yya sub akaenda kucheza CF, mipira haimfikii, akawa anaonekana hana analolifanya uwanjani(huyu ndio samatta anaelalamikiwa na wa tz)
 
Kucheza CF kama viungo hawajitumi lazima utaonekana hufai
 
Ukweli mtupu
 
jana nilimuona kwenye list nikaanza kutukana ila kanishangaza sana kanikumbusha samatta wa miaka 4 iliyopita yaani kama angekuwa na support ya bocco, lyanga au nado ingekuwa balaa
 
Amekuwa mwangalifu sana siku hizi,maji ya jioni haya,maisha kwanza...
 
Tatizo kila lumpen nae nu kocha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yule samata wa jana hata angekutana na Italy angewasumbua sana ,jamaa alikuwa moto sana najiuliza ni kwa sababu mzungu alimuweka kushoto?
Kwa mtazamo wako, Taifa Stars jumlisha na Wachezaji wetu kwa ujumla; kati ya viungo kwa upande mmoja, na Left & Right Fullbacks kwa upande mwingine; ni eneo gani tupo vizuri?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…