Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u know nothingUsimfananishe Diamond na Watu kama samatta buana D ni. Level Nyingine mpira unalipa ila sio afrika na ligi ya uberigiji mpira unalipa baadhi ya nchi mfano ni England, Spain, jerman, italy nk.
Hujui kitu kuna watu wanacheza China na uarabuni ila wanapesa kushida wanaocheza Epl pia sio kila anayecheza epl atakuwa na pesaUsimfananishe Diamond na Watu kama samatta buana D ni. Level Nyingine mpira unalipa ila sio afrika na ligi ya uberigiji mpira unalipa baadhi ya nchi mfano ni England, Spain, jerman, italy nk.
ninavyojua mia myweather anapiga mpunga mrefu kuliko hao akina ronaldo
Tofautisha malipo ya mpira na malipo ya mikataba ya matangazo. Hiyo ni biashara nyingine inayotokana na jina la mchezaji. Hapo kinachotengeneza hela ni brand ambayo hata kama ingekuwa haitokani na mpira bado ingetengeneza hela tu.Mpira unalipa saaaaaaana ndo maana wanamichezo watano walioingiza pesa nyingi 2016,2017 Hakuna msanii hata mmoja, deal la Nike pekee Rinaldo wanampa $1billion husiche na mpira pyeeeee
Ukitaka kujua mziki unalipa kuliko mpira ingia katika nchi husika tafuta mchzaji mwenye hela nyingi zaidi linganisha na mwanamziki mwenye hela nyingi zaidi katika nchi ile ile bila kuvuka mipaka. Utanipa majibu. Anzia bongo mpaka huko unapopajuaUsimfananishe Diamond na Watu kama samatta buana D ni. Level Nyingine mpira unalipa ila sio afrika na ligi ya uberigiji mpira unalipa baadhi ya nchi mfano ni England, Spain, jerman, italy nk.
Naomba jibu
Tuanzie Portugal,tuje Argentina, twende England,twende France, Africa twende ivortcoast na Cameroon hizo nchi nitajie msanii ambaye anapesa kushinda wachezazi wanaotoka nchi hizoUkitaka kujua mziki unalipa kuliko mpira ingia katika nchi husika tafuta mchzaji mwenye hela nyingi zaidi linganisha na mwanamziki mwenye hela nyingi zaidi katika nchi ile ile bila kuvuka mipaka. Utanipa majibu. Anzia bongo mpaka huko unapopajua
hahaaHilo swali sio la kuuliza jf,swali la fb hilo group la kisima cha jangwani..
Mbona hujaitaja marekani mkuu,?Tuanzie Portugal,tuje Argentina, twende England,twende France, Africa twende ivortcoast na Cameroon hizo nchi nitajie msanii ambaye anapesa kushinda wachezazi wanaotoka nchi hizo
Mkuu una uhakika hilo Deal la $1b? Utajiri wa Ronaldo hanusi kabisa kwenye $1bMpira unalipa saaaaaaana ndo maana wanamichezo watano walioingiza pesa nyingi 2016,2017 Hakuna msanii hata mmoja, deal la Nike pekee Rinaldo wanampa $1billion husiche na mpira pyeeeee