Hivi Samatta yupo kweli?

Labda kwa sababu ya umri, ila kipindi chake Samatta alikuwa tishio, labda kama ulikuwa haufuatilii ligi ya Mabingwa Afrika.

Samatta alikuwa anauwezo wa kukusanya kijiji.

Tofauti mojawapo ya Samatta na Mayele nayoiona ni; Samatta anauwezo mkubwa wa kumiliki mpira, dribolingi, na kupiga chenga. Mayele ni mzee wa mbio na kupiga langoni haraka sana. Mayele akikabwa man to man hafungi, ila Samatta enzi zake atatafuta mpira ulipo na kuanzisha mashambulizi!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
***** Wako yaani samata unamlinganisha na hizo takataka
 
Nimependa hapo paragraph ya mwisho kuwa chama yuko vizuri kuliko grealish
 
Nani mpumbavu kati ya wewe na samatta? We endelea kujiuza hapo mbagala
Mama ako nae amejiuza sana mpaka tulipo muonea huruma na kumnunua,tukampa mimba tukamtelekeza,akakuzaa kwa tabu..magumu uliopitia ndio yamekuondoa nidhamu/heshima lakn sio kosa lako
 
Mama ako nae amejiuza sana mpaka tulipo muonea huruma na kumnunua,tukampa mimba tukamtelekeza,akakuzaa kwa tabu..magumu uliopitia ndio yamekuondoa nidhamu/heshima lakn sio kosa lako
Nafikiri Id yako inazungumza mengi
 
Wivu ni hatua ya mwisho kabisa kuelekea uchawi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Haina haja ya kukuita mbwa. Mbwa ni huyo jamaa uliyeleta mada.
 
Pia mfungaji bora Congo na tulifanikiwa kucheza mataifa Africa shida ya bongo ni usimba na uyanga
 
Kama haya yote hayajui mtoa mada basi yeye ndo tumuite mbwa.
 
Utopolo fala sasa nyinyi. Yaani unamlinganisha Samatta na huyo kilaza wenu. Samatta ashathibitisha ubora wake kwenye mechi kubwa za CAF ukiachilia mbali kule belgium. Huyo Kilaza wenu hana rekodi yoyote ya maana CAF halafu unamlinganisha na Samatta.
 
Utopolo fala sasa nyinyi. Yaani unamlinganisha Samatta na huyo kilaza wenu. Samatta ashathibitisha ubora wake kwenye mechi kubwa za CAF ukiachilia mbali kule belgium. Huyo Kilaza wenu hana rekodi yoyote ya maana CAF halafu unamlinganisha na Samatta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…