Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Tatizo chawaNje ya kurasa za CCM na IKULU hakika unapoanzishwa mjadala umhusuyo Samia watu wanaponda tena waziwazi na hawaogopi siku hizi!
Mfano ipo mada ya Samia kuitaka CRDB iharakishe ujenzi wa uwanja kule Kizimkazi wachangiaji wametema nyongo hatari!
Hasomi maoni ya watu?!
CRDB wanafiki sanaCrdb walijipendekeza kwa shujaa Magufuli wakajenga TAWI Chato 😂
actually,Nje ya kurasa za CCM na IKULU hakika unapoanzishwa mjadala umhusuyo Samia watu wanaponda tena waziwazi na hawaogopi siku hizi!
Mfano ipo mada ya Samia kuitaka CRDB iharakishe ujenzi wa uwanja kule Kizimkazi wachangiaji wametema nyongo hatari!
Hasomi maoni ya watu?!
Asome sasa ili iweje?Nje ya kurasa za CCM na IKULU hakika unapoanzishwa mjadala umhusuyo Samia watu wanaponda tena waziwazi na hawaogopi siku hizi!
Mfano ipo mada ya Samia kuitaka CRDB iharakishe ujenzi wa uwanja kule Kizimkazi wachangiaji wametema nyongo hatari!
Hasomi maoni ya watu?!