Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Naona wanatupia picha zenye makalio yao,sasa sijui ndio kututamanisha tuvunje amri ya Mungu inayotuasa tusitamani mwanamke asiye mke wetu au vipi?

Mimi kama kijana wa kilokole sijapenda hii tabia yao kwa kweli.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…