Hivi scolari aliwaza nini kuchagua brasili mbovu vile 2014

Ndio alikuwa forward wa Brazil huyu jamaa nilikuwa simkubali eti anamweka wilian bench

Sent using Jamii Forums mobile app
Hulk alikuwa hachezi kama striker alikuwa right wing.

Scolari alimprefer Hulk badala ya Willian ilikuongeza Physicality kwenye midfield ambayo alikuwa na wachezaji wengi ambao physically hawakuwa vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coutinho.
Douglas costa.
Miranda.
Filipe Luis.
Kwa Miranda wengi walisema kuwa Scolari alichemsha lakini kipindi hicho David Luiz alikuwa bora sana pale Chelsea.

Kwa Filipe Luis hata kama ni wewe upewe chaguo kati ya Filipe Luis na Marcelo ungemchagua Marcelo.

Douglas Costa over Neymar ungemchagua nani hapa ?

Coutinho over Oscar ungeweza kumchukua nani ? Oscar huenda alikuwa preferable kwa sababu ya Physicallity na conversion rate yake ilikuwa kubwa ukilinganisha na Coutinho.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mechi mwaka jana Agentina waliifunga Brazil 5 kwa 1; Allison sijui alikua anafanya makusudi au laa.
 
Kuna mechi mwaka jana Agentina waliifunga Brazil 5 kwa 1; Allison sijui alikua anafanya makusudi au laa.
Thiago Silva amestaafu sasa sijui wanabeki gani mwingine wa maana ambaye anaweza kuvaa viatu vyake.

Kufungwa huwa kupo tu timu nzima ikizidiwa hata kama golikipa awe mzuri vipi atafungwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…