Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Changamoto ni nyingi lakini hiyo ya mishahara midogo haisikiki? Ni wimbo wa miaka mingi sana.

Baada ya sera ya elimu bure wazazi hata kununua uniform ni kazi.

Kuwalipia watoto chakula imekuwa ngumu.

Serikali inashindwaje kuwapa walimu usafiri,waachane na Mambo ya bodaboda kila wkt (kama vipi wawape transport allowance) ihusike.

Ni vgm sana kujenga nyumba za walimu hata kata Moja. Kwanini hawapewi house allowance tu?

Yakifanyika hapo hata Heshima ya hiyo kazi ya Ualimu itakuwa kubwa na kwa wingi wa watoto mashuleni basi kazi itafanyika vzr
 
Changamoto ni nyingi lakini hiyo ya mishahara midogo haisikiki? Ni wimbo wa miaka mingi sana.

Baada ya sera ya elimu bure wazazi hata kununua uniform ni kazi.

Kuwalipia watoto chakula imekuwa ngumu.

Serikali inashindwaje kuwapa walimu usafiri,waachane na Mambo ya bodaboda kila wkt (kama vipi wawape transport allowance) ihusike.

Ni vgm sana kujenga nyumba za walimu hata kata Moja. Kwanini hawapewi house allowance tu?

Yakifanyika hapo hata Heshima ya hiyo kazi ya Ualimu itakuwa kubwa na kwa wingi wa watoto mashuleni basi kazi itafanyika vzr
Poleni sana
 
Inatia hasira sana,wabunge wakula mamilioni na hakuna kazi wanayoifanya lakini walimu wa watu dah! Ndio maana wakikasirika wanawatia mimba wanafunzi
 
Changamoto ni nyingi lakini hiyo ya mishahara midogo haisikiki? Ni wimbo wa miaka mingi sana.

Baada ya sera ya elimu bure wazazi hata kununua uniform ni kazi.

Kuwalipia watoto chakula imekuwa ngumu.

Serikali inashindwaje kuwapa walimu usafiri,waachane na Mambo ya bodaboda kila wkt (kama vipi wawape transport allowance) ihusike.

Ni vgm sana kujenga nyumba za walimu hata kata Moja. Kwanini hawapewi house allowance tu?

Yakifanyika hapo hata Heshima ya hiyo kazi ya Ualimu itakuwa kubwa na kwa wingi wa watoto mashuleni basi kazi itafanyika vzr
Tangu lini mshahara ukatosha? Mbunge analipwa milioni 12 kwa mwezi, na bado analalamika hiyo ni oesa ndogo kwake.
Walimu mnatakiwa kujiongeza kwa kujishughulisha pia na biashara, kilimo, ufugaji, uwekezaji, uchuuzi, nk. Ili kujiongezea kipato.


Acheni kupoteza muda wenu mwingi kwenye kufanya kazi tu. Mtakufa masikini. Hizo changamoto nyingine za chakula cha wanafunzi, sijui unifomu! Hazikuhusu.

Unatakiwa kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuijenga familia yako, na pia maisha yako kwa ujumla. Usifikirie hii serikali ya ccm, itakuletea maajabu. Unatakiwa upambane.
 
Tangu lini mshahara ukatosha? Mbunge analipwa milioni 12 kwa mwezi, na bado analalamika hiyo ni oesa ndogo kwake.
Walimu mnatakiwa kujiongeza kwa kujishughulisha na biashara, kikimi, ufugaji, uwekezaji, uchuuzi, nk. Ili kujiongezea kipato.

Acheni kupoteza muda wenu mwingi kwenye kufanya kazi tu. Mtakufa masikini. Hizo changamoto nyingine za chakula cha wanafunzi, sijui unifomu! Hazikuhusu.

Unatakiwa kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuijenga familia yako, na pia maisha yako kwa ujumla. Usifikirie hii serikali ya ccm, itakuletea maajabu. Unatakiwa upambane.
Hahaha! Mwalimu ameumbwa na huruma sana. Huwezi kufundisha, mtoto mwingine yupo uchi yaani hana nguo
 
Watoto wanajikojolea na kujinyea yeye ndoanawasafisha! Hii ni laana
Bahati nzuri, watoto wengi huanza shule wakiwa wamevuka umri wa kujinyea labda itokee kitoto kinaumwa. Na ikitokea hivyo mzazi hushirikishwa, kazi ya ualimu sio laana ni kazi za kitume. Mitume wote wa Mungu walikuwa ni walimu!
 
Bahati nzuri, watoto wengi huanza shule wakiwa wamevuka umri wa kujinyea labda itokee kitoto kinaumwa. Na ikitokea hivyo mzazi hushirikishwa, kazi ya ualimu sio laana ni kazi za kitume. Mitume wote wa Mungu walikuwa ni walimu!
Mambo ya kishetani ndio yanalipa sio kitume.
Eg Ubunge v/s Ualimu
 
Mambo ya kishetani ndio yanalipa sio kitume.
Eg Ubunge v/s Ualimu
Ukweli tusitegemee serikali kujali sekta hii, maana wanaofanya maamuzi watoto wao wanasoma nje au private za gharama. Tujiwazie sisi watu wa daraja la chini na kati... Ukiendelea kutegemea serikali tegema mwanao kulala Doro, tu Jitume kusaidiana na shule ktk kulipa michango na kuweka mazingira salama kwa mwalimu ktk kufundisha... Mzazi ukiambiwa Mchangia 500,changia umpe hamasa mwalimu... Sio mnakaza wakati wanavuja damu kuondoa ujinga kwa mwanao
 
Tangu lini mshahara ukatosha? Mbunge analipwa milioni 12 kwa mwezi, na bado analalamika hiyo ni oesa ndogo kwake.
Walimu mnatakiwa kujiongeza kwa kujishughulisha na biashara, kikimi, ufugaji, uwekezaji, uchuuzi, nk. Ili kujiongezea kipato.


Acheni kupoteza muda wenu mwingi kwenye kufanya kazi tu. Mtakufa masikini. Hizo changamoto nyingine za chakula cha wanafunzi, sijui unifomu! Hazikuhusu.

Unatakiwa kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuijenga familia yako, na pia maisha yako kwa ujumla. Usifikirie hii serikali ya ccm, itakuletea maajabu. Unatakiwa upambane.
Umeeleza vizur na kama nimekuelewa ..umemaanisha wao watajiju wewe unaendeleanna mambo yako
 
Back
Top Bottom