Hivi Serikali ikimuamini huyu mwamba wa huko Mtwara hawezi kusaidia kuwaangamiza wasiojulikana na hata kutupa kinga thabiti ya janga la Corona?

Hivi Serikali ikimuamini huyu mwamba wa huko Mtwara hawezi kusaidia kuwaangamiza wasiojulikana na hata kutupa kinga thabiti ya janga la Corona?

Otherwise uniambie hata biblia huiamini kama wewe ni christian
Simon mchawi by Matendo ya Mitume

9 Na mtu mmoja, jina lake Simoni, hapo kwanza alikuwa akifanya uchawi katika mji ule, akiwashangaza watu wa taifa la Wasamaria, akisema ya kuwa yeye ni mtu mkubwa.
Matendo ya Mitume 8:9

10 Wote wakamsikiliza tangu mdogo hata mkubwa, wakisema, Mtu huyu ni uweza wa Mungu, ule Mkuu.
Matendo ya Mitume 8:10

11 Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.
Matendo ya Mitume 8:11



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikalini kuna wezi ambao ni vigogo, unataka wajiue?
 
Back
Top Bottom