Hivi serikali inanunua gesi inayochimbwa nchini kwa dola au kwa TSh?

Hivi serikali inanunua gesi inayochimbwa nchini kwa dola au kwa TSh?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Nimewaza hapa nikaona kuwa inawezekana huu mgao mkali wa umeme ni serikali haina pesa ya kununulia gesi ya kutosha. Naomba kufahamu serikali inanunua gesi kwa kutumia pesa gani?
 
..Maza alitoa ultimatum kwamba baada ya Dec 26 asisikie umeme ukikatika.
 
Kila kaya ianze kufikiria namna ya kupata nishati
 
Back
Top Bottom