Hivi serikali inawatafuta nini walimu kwenye ujenzi? Sasa huu mfumo wa manunuzi wa NeST imekuaje mmewahusisha?

Hivi serikali inawatafuta nini walimu kwenye ujenzi? Sasa huu mfumo wa manunuzi wa NeST imekuaje mmewahusisha?

Kudoba wepo baaah

Senior Member
Joined
May 12, 2024
Posts
155
Reaction score
461
Mwalimu mkuu/Mkuu wa shule anaingiziwa hela kwenye akaunti ya shule. Anaandikiwa barua ya kukaimishwa uafisa masuhuli na mkurugenzi ili asimamie kikamilifu fedha hizo zifanye kazi lengwa. Mpaka hapa, safi tu.

Anatakiwa aunde kamati mbalimbali zinazoshirikisha walimu wenzake, watendaji wa serikali, na wanakijiji ili washirikiane kusimamia mradi. Mpaka hapo, safi tu.

Linapoanza tatizo:
Fundi anatafutwa na ununuzi huku mwalimu akiambiwa tu, "Fundi wako huyu hapa na atajenga kwa kiasi hiki!" Kwisha!

Baadae tena anaitwa tu na kuambiwa vifaa utanunua kutoka kwa mzabuni fulani. Kwisha!

Vifaa vyote (materials) vinavyohitajika katika ujenzi husika lazima viingizwe kwenye mfumo wa NEST. Hii inahusisha mpaka maji, kokoto, mawe, mchanga n.k. Hapa kuna shida, na shida yenyewe ni kwamba gharama itakuwa kubwa mno kwani hata vitu ambavyo shule au kijiji kilikuwa na uwezo wa kuvipata kwa urahisi sasa mzabuni atapiga anavyotaka.

Mwishowe, mradi usipokamilika basi mwalimu ndiye atakayewajibishwa.

Au mimi sijaelewa wadau?
 
Dr. Msonde alikataa huo utaratibu alisema Walimu wajenge wao Moja kwa.moja bila mlolongo wa Halmashauri.

Mwisho hivi taasisi za Serikali za ujenzi Kama.TBA kazi Yao ni ipi hasa?

Idada za ujenzi huko Halmashauri kazi zao ni zipi hasa ?

Huu ujinga ukome na Walimu waachwe kwenye mambo ya taaluma ya kazi Yao.
 
Mwalimu mkuu/Mkuu wa shule anaingiziwa hela kwenye akaunti ya shule......,



Au mimi sijaelewa wadau?!!!!
𝔸𝕔𝕙𝕒 𝕛𝕒𝕟𝕛𝕒 𝕛𝕒𝕟𝕛𝕒 𝕞𝕙𝕒𝕤𝕚𝕓𝕦 𝕨𝕒 𝕤𝕙𝕦𝕝𝕖 𝕦𝕤𝕚𝕪𝕖 𝕟𝕒 𝕥𝕒𝕒𝕝𝕦𝕞𝕒 𝕪𝕒 𝕦𝕙𝕒𝕤𝕚𝕓𝕦,𝕥𝕦𝕝𝕚𝕒 𝕙𝕚𝕧𝕪𝕠 𝕙𝕚𝕧𝕪𝕠,𝕞𝕚𝕒𝕟𝕪𝕒 𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕚𝕚𝕓𝕚𝕒 𝕤𝕖𝕣𝕚𝕜𝕒𝕝𝕚 𝕚𝕞𝕖𝕫𝕚𝕓𝕨𝕒,𝕥𝕒𝕗𝕦𝕥𝕒 𝕞𝕓𝕚𝕟𝕦 𝕟𝕪𝕚𝕟𝕘𝕚𝕟𝕖,𝕞𝕒𝕣𝕒 𝕦𝕜𝕒𝕟𝕦𝕟𝕦𝕖 𝕞𝕒𝕓𝕒𝕥𝕚,𝕤𝕚𝕛𝕦𝕚 𝕔𝕖𝕞𝕖𝕟𝕥 𝕙𝕦𝕜𝕦 𝕦𝕜𝕚𝕗𝕒𝕚𝕕𝕚𝕜𝕒 𝕟𝕒 10% ,𝕚𝕞𝕖𝕜𝕦𝕝𝕒 𝕜𝕨𝕒𝕜𝕠.𝕆𝕧𝕒
 
Dr.Msonde alikataa huo utaratibu alisema Walimu wajenge wao Moja kwa.moja bila mlolongo wa Halmashauri.

Mwisho hivi taasisi za Serikali za ujenzi Kama.TBA kazi Yao ni ipi hasa?

Idada za ujenzi huko Halmashauri kazi zao ni zipi hasa ?

Huu ujinga ukome na Walimu waachwe kwenye mambo ya taaluma ya kazi Yao.
𝕄𝕜𝕦𝕦 𝕦𝕟𝕒𝕦𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕞𝕗𝕦𝕞𝕠 𝕨𝕒 𝕟𝕖𝕤𝕥 𝕒𝕦 𝕦𝕟𝕒𝕥𝕠𝕒 𝕦𝕤𝕙𝕒𝕦𝕣𝕚 𝕓𝕚𝕝𝕒 𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕟𝕒 𝕦𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕨𝕒 𝕜𝕚𝕝𝕖 𝕜𝕚𝕟𝕒𝕔𝕙𝕠𝕠𝕟𝕘𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕙𝕒𝕠𝕒?
 
𝕄𝕜𝕦𝕦 𝕦𝕟𝕒𝕦𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕞𝕗𝕦𝕞𝕠 𝕨𝕒 𝕟𝕖𝕤𝕥 𝕒𝕦 𝕦𝕟𝕒𝕥𝕠𝕒 𝕦𝕤𝕙𝕒𝕦𝕣𝕚 𝕓𝕚𝕝𝕒 𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕟𝕒 𝕦𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕨𝕒 𝕜𝕚𝕝𝕖 𝕜𝕚𝕟𝕒𝕔𝕙𝕠𝕠𝕟𝕘𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕙𝕒𝕠𝕒?
Nest haitumii local fundi
 
Watakao lalamika sana na kuumia ni watu wa halmashauri
Madili naona yanavyokata taratibu

Mpaka waseme

Walizid wizi hawa nao

Zamu ya walimu kuiba sasa nao wanunue hata magari sasa wajenge maishi kisasa
Thaman yao sasa itapanda pia
 
Watakao lalamika sana na kuumia ni watu wa halmashauri
Madili naona yanavyokata taratibu

Mpaka waseme

Walizid wizi hawa nao

Zamu ya walimu kuiba sasa nao wanunue hata magari sasa wajenge maishi kisasa
Thaman yao sasa itapanda pia
𝕎𝕒𝕨𝕖𝕫𝕒 𝕖𝕝𝕖𝕫𝕒,𝕙𝕒𝕡𝕒 𝕟𝕚 ɴ𝕒𝕞𝕟𝕒 𝕘𝕒𝕟𝕚 𝕞𝕨𝕒𝕝𝕚𝕞ᴜ ᴀᴛᴀɴᴜғᴀɪᴋᴀ ɴᴀ ʜᴜᴜ ᴍғᴜᴍᴏ?
 
Leo katika mhadhara wa Uprofesa aliouwasailisha Profesa Rwekaza Sympho Mukandala kuna maeneo ameyagusa na kuyapa jina plate "tectonic za kijamii" akimaanisha  dola na soko.

Katika inaugural lecture hiyo ambayo kwa kweli maprofesa wegine wameipa jina magisterial inaugural lecture ameonesha namna inavyojiingiza katika manunuzi huku ikikiuka taratibu za manunuzi mathalani ununuzi wa meli ya MV Bukoba ulighubikwa na ukikwaji wa taratibu za manunuzi na mikataba.

Mifumo hiyo iliyoleta hasara nankugharimu maisha ya Watanzania mefafanuliwa vizuri sana na Profesa Rwekaza Sympho Mukandala leo.
Hii mifumo ya Dola kujipenyeza kwenye soko au mianya ya manunuzi Inaweza kutuletea hasara kwa sababu ni kama hakuna tulichojifunza.
 
𝕎𝕒𝕨𝕖𝕫𝕒 𝕖𝕝𝕖𝕫𝕒,𝕙𝕒𝕡𝕒 𝕟𝕚 ɴ𝕒𝕞𝕟𝕒 𝕘𝕒𝕟𝕚 𝕞𝕨𝕒𝕝𝕚𝕞ᴜ ᴀᴛᴀɴᴜғᴀɪᴋᴀ ɴᴀ ʜᴜᴜ ᴍғᴜᴍᴏ?
Huu mfumo ni njia ya Dola kujipenyeza kwenye manunuzi na mikataba yake ova.
 
Mfumo uko vzr mbona tunaufanyia kazi fresh na kazi zipo niko wizara ya maji naona ishu ya kawaida na iko vzr
 
Hapa kuna shida, na shida yenyewe ni kwamba gharama itakuwa kubwa mno kwani hata vitu ambavyo shule au kijiji kilikuwa na uwezo wa kuvipata kwa urahisi sasa mzabuni atapiga anavyotaka.

Mwishowe, mradi usipokamilika basi mwalimu ndiye atakayewajibishwa.

Au mimi sijaelewa wadau?
Kivipi ajipigie anavyotaka wakati tunachukua lowest bidder?
 
Back
Top Bottom