Hivi Serikali ya Tanzania ina ubavu wa kuweka uwazi kwenye kuhesabu kura kama walivyofanya Kenya?

Hivi Serikali ya Tanzania ina ubavu wa kuweka uwazi kwenye kuhesabu kura kama walivyofanya Kenya?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Nakumbuka vizuri mwaka ule kambi ya CHADEMA pale Mlimani City ilivyoshambuliwa wakati wakiwa katika kujumlisha kura zao kama walivyozipata kutoka kwa mawakala wao!

Hivi hapa nchini Serikali inaweza kuwa na ubavu wa kuruhusu uwazi/transparency kiasi ambacho kila Mtanzania anaweza kuona kiasi cha kura alizopata mgombea yeyote wa ngazi yoyote?
 
Nakumbuka vizuri mwaka kambi ya chadema pale mlimani city ilivyoshambuliwa wakati wakiwa katika kujumlisha kura zao kama walivyozipata kutoka kwa mawakala wao! Hivi hapa nchini serikali inaweza kuwa na ubavu wa kuruhusu uwazi/transparency kiasi ambacho kila mtanzania anaweza kuona kiasi cha kura alizopata mgombea yeyote wa ngazi yoyote?
Anayedhani nchi hii itapiga hatua sana kimaendeleo anajidanganya sana, kumbuka wezi hawajawahi simamia serikali hata siku moja CCM hii toka 2010 haijawah shinda uchaguzi na Zanzibar ndio kabisaaa toka 1995 CCM haijawahi shinda.
 
Nakumbuka vizuri mwaka kambi ya chadema pale mlimani city ilivyoshambuliwa wakati wakiwa katika kujumlisha kura zao kama walivyozipata kutoka kwa mawakala wao! Hivi hapa nchini serikali inaweza kuwa na ubavu wa kuruhusu uwazi/transparency kiasi ambacho kila mtanzania anaweza kuona kiasi cha kura alizopata mgombea yeyote wa ngazi yoyote?
Hata yule mgombea wa chadema 2015 wakati anapitishwa hapakuwa na transparency.

Uliona wapi mgombea urais akipitishwa kwa kura za kunyoosha mikono?!
 
Hata yule mgombea wa chadema 2015 wakati anapitishwa hapakuwa na transparency.

Uliona wapi mgombea urais akipitishwa kwa kura za kunyoosha mikono?!
Kama wee ni mwanamke ningekushauri uende ukadange tu, upate wa kukupiga mtalimbo asubuhi hii
 
Nakumbuka vizuri mwaka ule kambi ya CHADEMA pale Mlimani City ilivyoshambuliwa wakati wakiwa katika kujumlisha kura zao kama walivyozipata kutoka kwa mawakala wao!

Hivi hapa nchini serikali inaweza kuwa na ubavu wa kuruhusu uwazi/transparency kiasi ambacho kila mtanzania anaweza kuona kiasi cha kura alizopata mgombea yeyote wa ngazi yoyote?
Thubutu, CCM tayari imekwishapata idadi ya kura za mwaka 2025 bado kuzitangaza tu.
 
Nakumbuka vizuri mwaka ule kambi ya CHADEMA pale Mlimani City ilivyoshambuliwa wakati wakiwa katika kujumlisha kura zao kama walivyozipata kutoka kwa mawakala wao!

Hivi hapa nchini serikali inaweza kuwa na ubavu wa kuruhusu uwazi/transparency kiasi ambacho kila mtanzania anaweza kuona kiasi cha kura alizopata mgombea yeyote wa ngazi yoyote?
Unadhani Dr Mahera anauwezo huo.
 
Anayedhani nchi hii itapiga hatua sana kimaendeleo anajidanganya sana, kumbuka wezi hawajawahi simamia serikali hata siku moja CCM hii toka 2010 haijawah shinda uchaguzi na Zanzibar ndio kabisaaa toka 1995 CCM haijawahi shinda.
Wezi wa kura wanaachaje kuiba Mali za umma?
 
Back
Top Bottom