Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 275
- 795
Mara zote nimekuwa nikisia pesa inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar. Mfano soma nukuu hii kutoka kwa rais wa JMT;
”Kwa mfano mwezi huu kulikuwa na vimaneno sijui hakuna pesa serikalini pesa kwasababu mikopo tulikopa imechelewa ya kufanyia kazi hizi lakini mbili kuna mikopo iliyo ‘mature’ kwa pamoja miwili na imebidi yote tulipe lakini kuna certificate za miradi mikubwa ambayo imekuja imebidi tulipe kwahiyo kwa kuweka heshima za nchi yetu lazima tulipe mikopo.”
Hapo serikali inadai mikopo miwili ili mature hivyo ikabidi ilipwe kwa pamoja. Tunajua kwamba mikopo tunayokopa kutoka nje tunagawana na SMZ. sasa kwenye kulipa naomba nipate ufafanuzi kama kuna pesa ilitoka Zanzibar kwa ajili ya kulipa mikopo hiyo.
Madhara ya mikopo
Kwa mfano kwa kitendo cha ku declare kwa serikali haina ela kisa kulipa mikopo hii ni hatari kwa ustawi na uchumi wa wananchi kwa sababu mradi au malipo halali yaliyo paswa kwenda kwa wananchi inabidi yasimamishwe ili ku clear madeni. Sasa hapo panaitaji nyuzi nyingine kufafanua madhala ya mikopo hasa inayowafaidisha wachache kama ilivyo huko kwenye jamhuri ya kusadikika.
Turudi kwenye mada Zanzibar alichangia kiasi gani kwenye mikopo iliyolipwa mwezi dec kwa mujibu wa kauri ya rais. Isije kuwa hawa wazanzibar tunawanufaisha kwa kufanya kitu kinaitwa UPENDO WA MSHUMAA halafu wao hawana shukrani.
”Kwa mfano mwezi huu kulikuwa na vimaneno sijui hakuna pesa serikalini pesa kwasababu mikopo tulikopa imechelewa ya kufanyia kazi hizi lakini mbili kuna mikopo iliyo ‘mature’ kwa pamoja miwili na imebidi yote tulipe lakini kuna certificate za miradi mikubwa ambayo imekuja imebidi tulipe kwahiyo kwa kuweka heshima za nchi yetu lazima tulipe mikopo.”
Hapo serikali inadai mikopo miwili ili mature hivyo ikabidi ilipwe kwa pamoja. Tunajua kwamba mikopo tunayokopa kutoka nje tunagawana na SMZ. sasa kwenye kulipa naomba nipate ufafanuzi kama kuna pesa ilitoka Zanzibar kwa ajili ya kulipa mikopo hiyo.
Madhara ya mikopo
Kwa mfano kwa kitendo cha ku declare kwa serikali haina ela kisa kulipa mikopo hii ni hatari kwa ustawi na uchumi wa wananchi kwa sababu mradi au malipo halali yaliyo paswa kwenda kwa wananchi inabidi yasimamishwe ili ku clear madeni. Sasa hapo panaitaji nyuzi nyingine kufafanua madhala ya mikopo hasa inayowafaidisha wachache kama ilivyo huko kwenye jamhuri ya kusadikika.
Turudi kwenye mada Zanzibar alichangia kiasi gani kwenye mikopo iliyolipwa mwezi dec kwa mujibu wa kauri ya rais. Isije kuwa hawa wazanzibar tunawanufaisha kwa kufanya kitu kinaitwa UPENDO WA MSHUMAA halafu wao hawana shukrani.