Hivi shilingi 5, 10 na 20 zimefutwa kwenye matumizi?

Hivi shilingi 5, 10 na 20 zimefutwa kwenye matumizi?

Habari wadau nimejiuliza sana hivi shilingi 5,10 na 20 kupotea mataan nina weza kusema nina miaka kama mitatu sijaziona hela hizo na sijaona tangazo la serikali au BOT kuziondoa kwenye matumizi hela hizo naambiwa hata madukan hazikubaliki tena....sasa najiuliza zimefutwa au hazina thaman tena ya kufanya manunuzi...na pia kiuchumi hili limekaaje ikiwa america had leo wana Sent...vip sisi tunao anzia sh 50 tena hapo unanunua pipi tu.!

Karibuni
Hakuna cha kununua na tsh 5, 10, na 20 ndo maana huzioni popote...
 
Hizo zingekuwa na thamani kama bidhaa zina uzwa kwa mfano sh 280 au 295 badala ya 300 hapo ungeona Ina thamani yake.
Kwa mfano mzuri UK bado wanatumia 1p 2p 5pence na kadhalika ukiiona ardhini 1p huwezi okota lakini ukienda dukani kama umepungukiwa 1p itabidi uchenji noti
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Back
Top Bottom