pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,863
- 2,757
Huyu dada kama co unga angekua mbali sana angekua level za kina shakira,rihana,beyonce
Watanzania mnatumia nguvu nyingi kwenye vitu vya kijinga-jinga.Hoja yako ......... Kwani wewe ndio uliyeleta mada hapa ......MADA INATAKA KUJUA KAMA SHOO ZA ULAYA NA MAREKANI ZINAWALIPA WASANII WETU,halafu wewe unaongelea kitu kisichokuwepo kwenye mada upo sawa kweli,si bora ungeendelea kujificha kwa jinsi nilivyokuelewa mimi kuliko sasa kujifanya ndio wewe muelewa .......Kama ni hivo KWANINI USIANZISHE THREAD YAKO UNAYOZUNGUMZIA WASANII WA MWANZO KABISA KWENDA ULAYA NA MAREKANI,KISHA UONE KAMA HUYO KIBA WAKO ATAKUWEPO HATA KWENYE 10 BORA ????
Mleta mada inaonekana umeanza kufuatilia muziki wa Bongo flava miaka michache iliyopita au wewe mtoto wa miaka ya 90's mwishoni kwa hiyo huna fact.Alianza Simba Diamond Platnumz, mara Rayvanny, Harmonize na Mavoko wakatia timu pande zile na week hii kaibuka wakuitwa King Kiba nae anaanza tour Ulaya na Marekani na mpaka muda huu Malaika wa raruararua yuko kwenye viunga vya US.
Jamani hivi hizi shows zinaonyesha dalili yoyote ya kukua kwa bongofleva ama ni kujibu mapigo ya mtu kutafuta droo?
Naomba tulojaaliwa utashi tufunguke ya moyoni.
Wewe unamtindio wa ubongo? Hata kuchambua mada huwezi halafu unaleta kimbelembele cha kuquote wanaume.....Mimi nimejibu hoja ya mleta mada kuwa Domo ndio kaanza kwenda ulaya kuperform......mimi nikamjibu hapana Ali ndo kaanza then wewe na kiherehere chako ukaniletea hoja ya kujaza ukumbi wakati hoja niliyodili nayo ni ya nani kaanza kwenda ulaya badala ya nani kajaza......Halafu tusipangiane cha kujibu mkuu najibu nilivyoelewa mada usifosi tufananeHoja yako ......... Kwani wewe ndio uliyeleta mada hapa ......MADA INATAKA KUJUA KAMA SHOO ZA ULAYA NA MAREKANI ZINAWALIPA WASANII WETU,halafu wewe unaongelea kitu kisichokuwepo kwenye mada upo sawa kweli,si bora ungeendelea kujificha kwa jinsi nilivyokuelewa mimi kuliko sasa kujifanya ndio wewe muelewa .......Kama ni hivo KWANINI USIANZISHE THREAD YAKO UNAYOZUNGUMZIA WASANII WA MWANZO KABISA KWENDA ULAYA NA MAREKANI,KISHA UONE KAMA HUYO KIBA WAKO ATAKUWEPO HATA KWENYE 10 BORA ????
Vipi tena mbona umepandwa na hasira hadi unamuita mwenzako Pimbi?Nimeona hiyo nyomi ya pimbikiba, si mchezo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi jamani mbona mnatokwa mapovu kwa jazba?Tupo vyanzo taarabu zako peleka pwani
Nimefatilia mabishano yenu kiukwli ww ndo unaonekana ubongo wako mzito sana kama uji wa udaga.....sizan hata darasan ulikiwa unaelewa mapemaWewe unamtindio wa ubongo? Hata kuchambua mada huwezi halafu unaleta kimbelembele cha kuquote wanaume.....Mimi nimejibu hoja ya mleta mada kuwa Domo ndio kaanza kwenda ulaya kuperform......mimi nikamjibu hapana Ali ndo kaanza then wewe na kiherehere chako ukaniletea hoja ya kujaza ukumbi wakati hoja niliyodili nayo ni ya nani kaanza kwenda ulaya badala ya nani kajaza......Halafu tusipangiane cha kujibu mkuu najibu nilivyoelewa mada usifosi tufanane
Kwa mujibu wa ubongo wako mzito ama?Nimefatilia mabishano yenu kiukwli ww ndo unaonekana ubongo wako mzito sana kama uji wa udaga.....sizan hata darasan ulikiwa unaelewa mapema
Hongera zake kwa kufanya show sebuleni[emoji23] [emoji23] [emoji23] vipi jamani mbona mnatokwa mapovu kwa jazba?
Au msanii wa bongo anayeruhusiwa kufanya show barani ulaya ni mmoja tu?
Hongera zake kwa kufanya show sebuleni