pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,863
- 2,757
Hivi kuna watu wako kwenye payrolls za mondi na kiba nn maana naona kuna watu akitajwa mondi wanaumia sn na akitajwa kiba wanaumia sn wako tayari kuokoteza issues ili mradi upande mmoja uonekane ovyo. Maana heri ya wakati ule kifesi yupo fb alikuwa anatoa habari za ukweli haswa kuliko hawa waliopo ss kutwa kukashifiana.