kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
- Thread starter
- #41
Soma upya bandiko langu ndo uje tena naona kama umekurupuka tuRoho mbaya zitawaua wabongo
Ina maana hujayaona haya Kwa mwaka 2017
1. Mkataba Wa kinywaji cha Belaire
2. Mkataba na Diamond karanga
3. Mkataba na Flying Dubai
Sijazungumzia kazi alizofanya mwaka huu na Tiwa Savage, Morgan Heritage na Rick rose.
Kama kweli huoni kama hayo ni mafanikio makubwa mno kwa mtanzania mwenzako nakuhakikishia utakuwa mchawi uzeeni mwako