Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 May 22, 2011 #21 Hama kakae mbali na wazazi wako; ukubwa wote huo bado unaishi nao tu?
Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,957 Reaction score 827 May 22, 2011 #22 Una umri gani ?
Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 806 May 22, 2011 #23 Yan lazima nimwambie mdingi au km vipi huyo mshikaji ntamtoa ngeu! Mali ya Baba ni ya baba tu!
S Sharo hiphop JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 660 Reaction score 104 May 22, 2011 Thread starter #24 JoJiPoJi said: Nakumbuka kuna jamaa ilimshinda akamua kufanya fumanizi la maza na jamaa, ila ilimletea shida sana maana aliwakuta katikati ya mchezo Click to expand... mi namchinja msela, siwezi kuukubali huo udhalilishwaji!
JoJiPoJi said: Nakumbuka kuna jamaa ilimshinda akamua kufanya fumanizi la maza na jamaa, ila ilimletea shida sana maana aliwakuta katikati ya mchezo Click to expand... mi namchinja msela, siwezi kuukubali huo udhalilishwaji!
S Sharo hiphop JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 660 Reaction score 104 May 22, 2011 Thread starter #25 Mfano kuna topic hapa inazungumzia kuhusu suala la mze mwenye nyumba kumbaka hg. Sasa huoni kama haya mambo yanatokea na ni lazima tuyajadili?
Mfano kuna topic hapa inazungumzia kuhusu suala la mze mwenye nyumba kumbaka hg. Sasa huoni kama haya mambo yanatokea na ni lazima tuyajadili?