Hivi siku unagundua hili utafanyaje?

Hivi siku unagundua hili utafanyaje?

Yan lazima nimwambie mdingi au km vipi huyo mshikaji ntamtoa ngeu! Mali ya Baba ni ya baba tu!
 
Nakumbuka kuna jamaa ilimshinda akamua kufanya fumanizi la maza na jamaa, ila ilimletea shida sana maana aliwakuta katikati ya mchezo

mi namchinja msela, siwezi kuukubali huo udhalilishwaji!
 
Mfano kuna topic hapa inazungumzia kuhusu suala la mze mwenye nyumba kumbaka hg. Sasa huoni kama haya mambo yanatokea na ni lazima tuyajadili?
 
Back
Top Bottom