mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Tupeni takwimu nani amewahi kufungwa na mtaani wake mara mfululizo , au Yanga Jana kavunja rekodi.
Soma Pia:
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara 5 mfululizo kichapo tu kila wakikutana wanapigwa mabao wanarudi na mimba km huyu Airmanula sasa hivi mjamzitoSasa hivi sio derby ni utani, hakuna Derby kila siku anafungwa yule yule
Yani tutajigia hadi tucheke ndio tuwaache.Sasa hivi watani zetu wanatamba ile mbaya! Hii Simba ya sasa inanisononesha linapokuja suala la kufungwa na Yanga mfululizo hivi.
Makolo mnajipa moyo 🤣🤣🤣🤣Rekodi iliyopo ni Simba kumfunga Yanga mara 5 mfululizo.
Mwaka gani huo ...... Ila Simba Kwa kujipa moyo .....Rekodi iliyopo ni Simba kumfunga Yanga mara 5 mfululizo.
Simba aliwahi kumfunga yanga mara Tano,kocha akiwa Patrick PhiliTupeni takwimu nani amewahi kufungwa na mtaani wake mara mfululizo , au Yanga Jana kavunja rekodi.
Soma Pia:
Tafuta historia. Kati ya 2000-2004 Simba ambayo ilimaliza Ligi ikiwa unbeaten chini Patrick Phiri ndio ilimfunga Yanga mechi 5 mtawalia.Mwaka gani huo ...... Ila Simba Kwa kujipa moyo .....
Wewe ndio ukatafute historia hata timu yako hauijui Patrick Phiri kafundisha Simba 2003 - 2005 .... Akaondoka akarudi 2008-2011.... Huo mwaka 2000,2001,2002 labda alikuwa anafudisha Simba ya Mwandolya.....Tafuta historia. Kati ya 2000-2004 Simba ambayo ilimaliza Ligi ikiwa unbeaten chini Patrick Phiri ndio ilimfunga Yanga mechi 5 mtawalia.
Daa!😢 Haya matusi haya yamezidi sasa. Upo wakati kibao kitakuja kugeuka. Malipo ni hapa hapa! Kuteseka kwa zamu! Zamu yenu ya kulia itafika siku moja.Jana nimeamini X hatongozwii,amesumbua weee Mwisho wa siku akaichomekaa mwenyewe...waaaaaa imo🤣🤣
Nakuhakikishia sasa hivi Simba kucheza na yanga wachezaji watakua wanaingia uwanjani KISHINGO UPANDE,maana mara 4 mfululizo unachapika tu tena hadi nyumbani kwako kisaikolojia hii hali sio nzuriYanga ndiyo timu pekee ya mpira wa miguu hapa Tanzania, narudia
Unaelewa maana ya Derby?Sasa hivi sio derby ni utani, hakuna Derby kila siku anafungwa yule yule