Hivi Simba kwanini wasimchukue Morrison?

Ligi kuu bara ina zaidi ya timu 20,why asikwende vilabu vingine
Acha uongo,
Ligi gani hiyo yenye timu zaidi ya 20??
Unafuatilia mpira wa Bongo kweli wewe??
 
Umeandika kama umekatwa kichwa, mchezaji wa nje yuko kimaslahi sio mapenzi kwa timu,acheze bure familia yake ikale kwenu.
 
Chukua Hiyoo kutoka kwa wakili msomi Amekua sasa Wanaume Wako Msimbazi Sio Wale Mademu wa NyumaMwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…