Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Acha uongo,Ligi kuu bara ina zaidi ya timu 20,why asikwende vilabu vingine
Ligi gani hiyo yenye timu zaidi ya 20??
Unafuatilia mpira wa Bongo kweli wewe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo,Ligi kuu bara ina zaidi ya timu 20,why asikwende vilabu vingine
wengine maelfu sanaAs long mnapigwa tutaandika hata usiku wa makumi
Halafu hawa wazee wà utopoloni wameshakata moto wote. Koçha kasema hawawezi dk 90.Yanga ndiyo yenye tabia ya kuokoteza wachezaji waliovuka umri , mchukueni awasaidie wazee wenzake akina chama.
Ngoma Simba iachane naye. Jua limeshamchwea.Ngoma alitakiwa awe huyo mchezaji ila hachezeshwi nafasi sahihi kuweza kulitekeleza hilo.
Bado anaweza kusaidia. Sidhani kama kuna mchezaji kwenye ligi mwenye uwezo wa kupiga pasi rula ndefu kama yeye. Ile pasi kwa Mukwala jana akapiga nje ilitoka kwake.Ngoma Simba iachane naye. Jua limeshamchwea.
PacomeHivi umewahi kuona mchezaji mwenye kipaji kama Morrison tangu aondoke Simba?
Umeandika kama umekatwa kichwa, mchezaji wa nje yuko kimaslahi sio mapenzi kwa timu,acheze bure familia yake ikale kwenu.Siku ile aliyo vua bukta na akabaki na chupi tu.
Bosi Azim alikasilika sana.
Na kwasababu Bosi ni Mwislamu safi aliamua kumfukuza moja kwa moja.
Hii ndio sababu ya msingi.
Kumbuka Azim ni baba mdogo wa MO
Morrison Bado anaipenda Simba sana na yuko tayari kurudi Simba hata kwa kucheza bure.
Ili arudi Simba basi walio karibu na Azim wakamwombe radhi sana ili amsamehe.
Na kumwelimisha Morrisson namna ya kuishi kwa staha Tanzania.
Akienda Morrison mwenyewe atasamehewa mara moja na kurudishwa Simba.