umefurahi sana? Jamba basi tunuse harufu yako ya ushuziNafurahi kuona huu ' Utahaira ' wako uliouanika hapa.
Mi nyagi imeshafuta kila kitu kichwani. Hakuna siku Simba iliniumiza kama ile. Yule jamaa anaitwa Boli Zozo... mi namwachia Mungu aseme naye mwenyeweLakini vipi kile kikosi kilichofika fainali za kombe la shirikisho kilichokuwa chini ya king Kibadeni Mputa mwenye kukikumbuka atukumbushe wadau.
Omar mahadh
Kajole
Shaban baraza
Daud salim
Aluu Alli
Umar Gumbo
Khaidar
Athuman Mambosasa
King Kibaden
Ezekiel G Jujuman
Abbas Dilunga
Malota soma
Abdallah Mwinyimkuu
hebu endeleza
Samahani nimewakwaza....lakini weka historia.Wengine tulikua Form two huko Ilboru secondary....na ilikuwa Ilboru kweli kweli ya kina Tundu Lissu cha mtotoWengi wetu humu JF katika Kikosi hiki ulichokitaja hapa tulikuwa katika ' Mabeseni ' tunapiga piga tu maji tukisubiri ' Kuogeshwa ' na kwenda kunyweshwa ' Uji ' wa ' Buruga '.
5. Victor Costa "Nyumba"Rest in peace sana Kocha James Aggrey Siang'a
- Juma Kaseja
- Said Swedi
- Ramadhani Wasso
- Boniface Pawasa
- Patrick Betwel Buba ' Mmasai '
- Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
- Steven Mapunda ' Garincha '
- Shekhan Rashid ' Fundi '
- Joseph Kaniki ' Golota '
- Emanuel Gabriel Mnyakyusa ' Batigol '
- Ulimboka Mwakingwe
Samahani nimewakwaza....lakini weka historia.Wengine tulikua Form two huko Ilboru secondary....na ilikuwa Ilboru kweli kweli ya kina Tundu Lissu cha mtoto
Thank you.....sikutaja elimu...anyway nilikuwa namanisha Baridi ya pale shule.Samahani saana hatukuelewana.....ninakuomba radhi na msamaha wa dhati.Mkuu hapa katika huu ' uzi ' hatuongelei ' Ilboru ' ya kweli kweli ukitaka kumaanisha kuwa ' Ilboru ' ndiyo ilikuwa Shule pekee hapa Tanzania ambayo ilikuwa na Wanafunzi ' Werevu '. Acha ' Sifa ' za Kijinga na akili ya Mwanafunzi au Mtu haipimwi na Shule aliyosoma bali kuna ' Factors ' nyingi za kuonyesha kuwa Mwanafunzi au Mtu fulani ni ' Mwerevu '. Please next time use common sense.
Hiki ndo kilikuwa kikosi imara cha SimbaNadhani nimekidhi haja yako ' Kamarada ' wangu.
- Mackenzi Ramadhan
- Mavumbi Omary
- Twaha Hamidu ' Noriega '
- Mustapha Hoza
- Frank Kassanga ' Bwalya '
- Idi Seleman Kibode ' Nyigu '
- Issa Kihange
- Rajab Msoma
- Edward Chumila
- Malota Soma ' ball juggler '
- Dua Said Dua
Sio tusker ni sports club villa ya uganda...Miaka hiyo nilikuw bado mdogo sana ndio nilikuwa naanza kufatilia mpira
Kumbukumbu zangu hazijakaa sawa,kikosi hicho Machupa hakuwepo?
Katika mechi nnnazokimbuka ilikuwa Kagame Cup...tulifungwa goli dakik za nyiongeza zikiwa zimebaki dakika chache ulipigwa mpira mwingi tukachomoa goli kwenye penalt tukawatoa kama sikosei walikuwa Tusker
Simba ilikuwa tishio ukanda huu wa East and Central,kikombe cha Tusker ilichukua mara 5 mfululizo
Amasha alitupa shida tunakubaliAh
Salvatory Edward, waziri mahadhi ,sekilojo chambua ,Fred Mbuna,iddi moshi ,
Kiboko ya simba hiyo
Rest in peace sana Kocha James Aggrey Siang'a
- Juma Kaseja
- Said Swedi
- Ramadhani Wasso
- Boniface Pawasa
- Patrick Betwel Buba ' Mmasai '
- Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
- Steven Mapunda ' Garincha '
- Shekhan Rashid ' Fundi '
- Joseph Kaniki ' Golota '
- Emanuel Gabriel Mnyakyusa ' Batigol '
- Ulimboka Mwakingwe
Hebu fikiria hawa wakiwa uwanjani, wenye benchi amekaa Stephen Mapunda 'Garincha', Athuman Machupa,, Amri Said, Kelvin Mhagama, Madaraka Suleiman, Victor Costa 'Nyumba', n.kRest in peace sana Kocha James Aggrey Siang'a
- Juma Kaseja
- Said Swedi
- Ramadhani Wasso
- Boniface Pawasa
- Patrick Betwel Buba ' Mmasai '
- Seleman Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia
- Steven Mapunda ' Garincha '
- Shekhan Rashid ' Fundi '
- Joseph Kaniki ' Golota '
- Emanuel Gabriel Mnyakyusa ' Batigol '
- Ulimboka Mwakingwe
mkuu hapo ndipo palikuwa na mpira.siyo hvi vibana pua wa ss waenda onyesha stail za minywele tu uwanjani.Nadhani nimekidhi haja yako ' Kamarada ' wangu.
- Mackenzi Ramadhan
- Mavumbi Omary
- Twaha Hamidu ' Noriega '
- Mustapha Hoza
- Frank Kassanga ' Bwalya '
- Idi Seleman Kibode ' Nyigu '
- Issa Kihange
- Rajab Msoma
- Edward Chumila
- Malota Soma ' ball juggler '
- Dua Said Dua