[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Yaani ukiwaona wanavovimba kuwa wao ndo timu yenye mafanikio kimataifa, kumbe ni wasindikizaji tummmh simba mabingwa wa kusindikiza abiria wakapande basi, wao wanarudi kwa miguu
La saba failure hana tofauti yeyote na chekecheaAlieishia darasa la saba na ambae aliishia darasa la chekechea wana utofauti
Acha potojo wewe, Nimewaruhusu mka Google kisha mlete hapa kombe lolote ambalo linatambuliwa na shirikisho la mpira barani Africa ( caf ) alilowahi kushinda SimbaWe dada wivu unakusumbua. Maswali mengine kaulize google.
Kwenye mpira Heshima ya pekee ni ushindi wa mataji tu hayo mengine mpeane heshima uko uko klabuni kwenuUsindikizaji nao unatofauliana. Anayesindikiza na ndala miguuni hufika mbali kuliko anayesindikiza miguu peku.
Wape simba heshima yao wamefanya ukapanda ndege kwenda kumwagiwa nje ute unaoteleza huko Nigeria na River united
Wote hawana hata cheti cha fom foo.Alieishia darasa la saba na ambae aliishia darasa la chekechea wana utofauti
Hapa inaonyesha ulivyo na akili fupi. Umeingia chumbani na Kabwili mkajadili mkaja na rekodi zenu za kikabwili . Kuwa na adabu kwa mtu anayekupeleka viti maalumu japo huwa unaenda kulitia aibu taifaView attachment 2066475
Mpewe heshima kwa vipigo hivu?
We jamaa kipigo Cha 4-0 ambacho Simba alimdunda Yanga Mbona hujaweka hapa?,Ktk rekodi Yako umeonyesha tu Simba alipofungwa,Ziko mechi kibao za nje ambazo Simba ilishinda lkn wewe hujaweka,hii sio fair.Hii rekodi Yako ni feki,nenda kajipange upya.View attachment 2066475
Mpewe heshima kwa vipigo hivu?
Wamewahi kuwa washindi wa pili kombe la shirikisho barani Afrika.Imezuka kasumba kwa washabiki na wapenzi wa klabu ya Simba S.C kutamba kuwa wao ndio wawakilishi wazuri kwenye michuano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu, Je wamewahi shinda nini huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa? Au nao ni wasindikizaji tu kama wasindikizaji wengine?
Ni uongo kua hamjawahi kupata hivyo vipigo?Hapa inaonyesha ulivyo na akili fupi. Umeingia chumbani na Kabwili mkajadili mkaja na rekodi zenu za kikabwili . Kuwa na adabu kwa mtu anayekupeleka viti maalumu japo huwa unaenda kulitia aibu taifa
Nakumbuka ndio.Iyo kagame cup na Tusker cup unakumbuka mmechukua mara ya mwisho lini ?
Hapo sasa ni wewe ila majibu ya swali la hii thread mshayapata.Basi Makombe Yenyewe Ndo Hayo Muache Kutupigia Kelele Aisee..
Hebu nitajie ni mwaka gani?Nakumbuka ndio.
kwanza mnakubali Simba ni ya kimataifa?
Huwa nadhani mnaposema Simba ni wakimataifa mnamaaisha mashindano ya caf kumbe ni wakimataifa kwa Tusker na Kagame cup?Hapo sasa ni wewe ila majibu ya swali la hii thread mshayapata.
Matusi hayajibu hoja, kama umeshindwa kuonesha kombe la caf walilowahi kushinda Simba omba msaada wa Google
Nadhani lengo langu nilitakiwa kujua kama je wameshawai kushinda kikombe chochote cha caf? Paka sasa sijapata jawabu lolote kutoka kwa mdau yeyote wa Simba S.C kuhusu swali langu zaidi ya kujificha kwenye makombe ya bonanzaWamewahi kuwa washindi wa pili kombe la shirikisho barani Afrika.