Hivi Simba watawatoa wapi best players maana wapo yanga na Mamelodi tu

Hivi Simba watawatoa wapi best players maana wapo yanga na Mamelodi tu

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Nawaona washabiki wa Simba wanalia na usajili, Sasa hata kama Mo akitoa Hela hao best players mtawatoa wapi, maana timu mbili tu ndo Zina wachezaji Wazuri na wanaowafaa yaani yanga na Mamelodi, na kidogo Al ahly au esperance ambako kote huko hamuwezi kuchukua mchezaji.

Ninachoona Mimi hata mwakani mtalia hivyo hivyo usajili, shida mtanunua wapi wachezaji wakali au mtachukua akaminko, au wachezaji wa vipers au.

Nyie tulieni hivyo hivyo, wachezaji Wazuri ni wachache mno Sasa hivi na wanahitaji kocha mzuri na pia hakuna pa kuwapata , labda mje yanga na mje na Hela na Inonga kama nyongeza.

Katika kitu kinachowapa stress Simba Sasa hivi ni usajili tu, baleke c mzuri sana na pia ni WA Mkopo. Hii miaka mitano Simba mtaisoma namba.
 
Naona fainali ya kombe la jogoo inawatia wazimu kabisa. Yaani mnaamini sasa hivi akina kisinda ni classic players Africa nzima?

Hii inaitwa "fluke" ambayo mwakani haitaonekana tena utopoloni.

Marumo Gallants anashuka daraja na kacheza nusu fainali ya CAFCC, naye ni bora kuliko timu nyinginezo Africa?

Yaani Al ahly mnaikadiria kwa mbaliii.

Pumba....vu qabisa!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyu kama hajalewa basi nati zitakua zimelgea kichwani, anaitaji kukazwa
 
Nawaona washabiki wa Simba wanalia na usajili, Sasa hata kama Mo akitoa Hela hao best players mtawatoa wapi, maana timu mbili tu ndo Zina wachezaji Wazuri na wanaowafaa yaani yanga na Mamelodi, na kidogo Al ahly au esperance ambako kote huko hamuwezi kuchukua mchezaji.

Ninachoona Mimi hata mwakani mtalia hivyo hivyo usajili, shida mtanunua wapi wachezaji wakali au mtachukua akaminko, au wachezaji wa vipers au.

Nyie tulieni hivyo hivyo, wachezaji Wazuri ni wachache mno Sasa hivi na wanahitaji kocha mzuri na pia hakuna pa kuwapata , labda mje yanga na mje na Hela na Inonga kama nyongeza.

Katika kitu kinachowapa stress Simba Sasa hivi ni usajili tu, baleke c mzuri sana na pia ni WA Mkopo. Hii miaka mitano Simba mtaisoma namba.
Simba itasajili Alien 👾
 
Back
Top Bottom