Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukosefu wa heshima huo.. Makufuli ana dini kweli? Xtian or Buddhist?Sio desturi yetu kabisa
NDIO HIVYO NI KAMA OMONDI ALVYOFANYA KWA CURRENCY YA TZ KWENYE COMEDY YAKE. SI UTAMADUNI WA TZHii video hapa rais Uhuru anaongoza kwa maombi, akimuombea mama yake rais Magufuli, mlinzi wa Uhuru amevua kofia mara moja, ila naona mlinzi wa Magufuli amekomaa na yake. Labda sio desturi ya JWTZ....
Desturi ya Mwafrika ndio ipi maana hata urais, ubunge vyote sio vyetu, kama vipi ifute account yako ya JF kisha uvue nguo na kuvaa ngozi ya mnyama, kisha tembea peku nenda porini, ukiyafanya hayo nitakukubali kwamba wewe ndiye asili.Mfumo huo wa jeshi na maombi vyote sio desturi ya Mwafrika.
Wanaapa kutii amri halali tu, hapa ndipo unataka kuleta ubishi wa kufa mtuSisi Askari wetu Mambo yao sidhani Kama wanamuamini Mungu wanaapa kutii anri halali za rais tuu
Hizo ujinga za KenyaUsitegemee kumuona akivua kofia wakati kiunoni amevalia huu uchafu. Akithubutu tu kuvua kofia hirizi zitampiga shock.![]()
Hii video hapa rais Uhuru anaongoza kwa maombi, akimuombea mama yake rais Magufuli, mlinzi wa Uhuru amevua kofia mara moja, ila naona mlinzi wa Magufuli amekomaa na yake. Labda sio desturi ya JWTZ....
Alafu wimbo wenu wa taifa unatangulia na ...Mungu ibariki.....Au ni show tu?Serikali/jeshi haina dini.
Taifa ni watu, serikali ni chombo.Alafu wimbo wenu wa taifa unatangulia na ...Mungu ibariki.....Au ni show tu?
Kwani huyo mungu dini yake ni ipi?Alafu wimbo wenu wa taifa unatangulia na ...Mungu ibariki.....Au ni show tu?
.....na watu wana imani zao. Nadhani wanajeshi huwa wanafunzwa kuwa na heshima na ustaarabu hata kwa dini ambazo haziwahusu.Taifa ni watu, serikali ni chombo.
Dini zote chini ya jua, ambazo zina amini kwamba kuna Mungu mmoja.Kwani huyo mungu dini yake ni ipi?
Yule mjeshi ni mkristo, hata hivyo kuvua kofia siyo kuonesha unyenyekevu mbele za Mungu, kumbuka Mungu ni roho...John 4:24.....na watu wana imani zao. Nadhani wanajeshi huwa wanafunzwa kuwa na heshima na ustaarabu hata kwa dini ambazo haziwahusu.
Sasa jeuri ya kuhoji huyo mwanajeshi kwa nini hakuvua kofia unaipata wapi?Desturi ya Mwafrika ndio ipi maana hata urais, ubunge vyote sio vyetu, kama vipi ifute account yako ya JF kisha uvue nguo na kuvaa ngozi ya mnyama, kisha tembea peku nenda porini, ukiyafanya hayo nitakukubali kwamba wewe ndiye asili.
Usiwe mnafiki kama yule msanii anaitwa Mpoki, husema yeye hutembea peku ili kuwa Mwafrika, ilhali anatumia magari, anakunya kwenye vyoo vya mfumo wa wazungu n.k.
Hii video hapa rais Uhuru anaongoza kwa maombi, akimuombea mama yake rais Magufuli, mlinzi wa Uhuru amevua kofia mara moja, ila naona mlinzi wa Magufuli amekomaa na yake. Labda sio desturi ya JWTZ....