pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Huyo hapo ni mtanzania mwenzako na ulinzi wake wa giza.Hizo ujinga za Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hapo ni mtanzania mwenzako na ulinzi wake wa giza.Hizo ujinga za Kenya
Uwongo mungu hana dini endeleeni kujidanganya maana ikiwa mungu anayo dini basi naye yupo chini ya ibada na kama mungu anayodini mbona anamwambia musa mm ni mungu wa usaka na Ibrahim kwanini akutaja jina la dini wala musa akuuliza wewe ni mungu wa dini gani bali aliuluza jina tuDini zote chini ya jua, ambazo zina amini kwamba kuna Mungu mmoja.
Uwongo mungu hana dini endeleeni kujidanganya maana ikiwa mungu anayo dini basi naye yupo chini ya ibada na kama mungu anayodini mbona anamwambia musa mm ni mungu wa usaka na Ibrahim kwanini akutaja jina la dini wala musa akuuliza wewe ni mungu wa dini gani bali aliuluza jina tu
Wakenya ninyi wangaHuyo hapo ni mtanzania mwenzako na ulinzi wake wa giza.
Elimu ya kiberaLkn ujue njia ya haki ni moja...na njia yenyewe niku muamini yeye,malaika wake,mitume na vitabu vyake...
Kwhyo km hufuati na wala huamini hvyo vitu...utakua umepotoka..manake lazima uamini km kuna Mungu,Malika wake,uamini mitume wake na vitabu vyake pia
Elimu ya kibera
Elimu ya kibera
Kawaida Askari hauruhusiwi kupiga saluti akiwa hajavaa kofia. Anapiga saluti tu anapokuwa amevaa kofia, mahali popote pale hata kama ni kwenye msiba. Kwa hiyo nadhani kwao kuvaa kofia ni sehemu ya heshima, as long as kofia ni ya kijeshi.Hii video hapa rais Uhuru anaongoza kwa maombi, akimuombea mama yake rais Magufuli, mlinzi wa Uhuru amevua kofia mara moja, ila naona mlinzi wa Magufuli amekomaa na yake. Labda sio desturi ya JWTZ....