kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Simba anazo records nyingi ikiwa ni pamoja na comeback ya taifa nchini Zambia.Tuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuache kukaa kama mapang'ang'a tupambane nadi tuweke karekodi japo kadogo kuliko kushupaza shingo kuhusu yanga
Tusisahau kuhusu ngada majibu hatujapata
Na mnarekodi ya kwenda kutolewa bikra vichakaniTuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuache kukaa kama mapang'ang'a tupambane nadi tuweke karekodi japo kadogo kuliko kushupaza shingo kuhusu yanga
Tusisahau kuhusu ngada majibu hatujapata
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄Na mnarekodi ya kwenda kutolewa bikra vichakani
Tatizo sisi mashabiki wa simba ni mambumbumbu hatupendi kusikia ukweliRekodi yetu hatujawahi kuwa na shabiki kama wewe
Tuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuache kukaa kama mapang'ang'a tupambane nadi tuweke karekodi japo kadogo kuliko kushupaza shingo kuhusu yanga
Tusisahau kuhusu ngada majibu hatujapata
kama kuna timu Tanzania iliyowahi kufika robo fainali Caf nambie... nimekaa pale!Tuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuache kukaa kama mapang'ang'a tupambane nadi tuweke karekodi japo kadogo kuliko kushupaza shingo kuhusu yanga
Tusisahau kuhusu ngada majibu hatujapata
Kuifunga Yanga 6 - 0; 5 - 0 mtawaliaTuna rekodi ipi ya kujivunia kama wenzetu. Wao mabingwa wa kihistoria kuliko sisi, wao ni 49 unbeaten kuliko sisi.
Tuache kukaa kama mapang'ang'a tupambane nadi tuweke karekodi japo kadogo kuliko kushupaza shingo kuhusu yanga
Tusisahau kuhusu ngada majibu hatujapata
Timu inayoongoza kuifunga Yanga goli nyingi ni Simba🤣🤣
Wamejifutia nazo maana huko mashambani hakuna bafuPoleni Yanga, hakika kipigo kimewavuruga, keki 50 na jezi za unbeaten 50 mlizokuwa mmeandaa zimeharibiwa vibaya
Bora uache hiyo mada kila siku ni hyo nyie kwa sasa ndo vigagula nimeamini hyo jezi yenu ilizindikwa aisee... mmekua washirikina mno..Sisi Simba rekodi yetu ya kujivunia ni kukamatwa tukifanya vitendo vya kishirikina uwanjani Hadharani pale bondeni Kwa Madiba na kushushiwa Rungu na CAF.
Vile vile tunajivunia kupulizia madawa na vitendo vya kishirikina dhidi ya timu Pinzani zinazo Kuja kucheza Kwa Mkapa na CAF wametuweka katika uangalizi kulingana na tuhuma izo.
Aisee haijawahi tokea yani kwa goli tulizowafunga nyingi nyingi ni kombine ya vigoli vyao vimoja vimojaTimu inayoongoza kuifunga Yanga goli nyingi ni Simba🤣🤣