Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Wakati Tanzania Iphone ni kama Lulu, wanawake wanahongwa iphone haijalishi ni mdogo au mkubwa ila wanafuraha sana na kutamba wanatumia "latest Iphone"
Wenzetu unapewa simu unalipa $15 kwa mwezi ambazo ni TSHS 30,000 tu
Shida ni nini?
Hizi hapa ni bei kabla ya punguzo unapewa simu kwa mkopo wa MIAKA 2,
Tukifanya hivi tutaokoa kizazi chetu cha watoto wa kike kwa sehemu
Wenzetu unapewa simu unalipa $15 kwa mwezi ambazo ni TSHS 30,000 tu
Shida ni nini?
Hizi hapa ni bei kabla ya punguzo unapewa simu kwa mkopo wa MIAKA 2,
Tukifanya hivi tutaokoa kizazi chetu cha watoto wa kike kwa sehemu