Hivi sisi wa Tanzania tunaweza mchezo gani?

Viduku, Singeli, na ujinga ujinga kama kuchagua Ccm miaka 900
 
Sisi sio watu wa spoti spoti ujue! Labda Siasa tu....Mpaka mtoto wa shule ya msingi mwanasiasa.
 
kubet kwenyewe hamna kitu vijana wanapoteza m
 
Uchawi,uzandiki,fitna,majungu, roho ya kwanini ujuaji pasipo kujua(u samjo) hapo watupe tu medals zetu haina haja ya kutushindanisha
 
nimekaa nikawaza bado sijapata jibu nimeona niwashirikishe wenzangu mnisaidie jibu hivi sisi wa Tanzania mchezo gani tunouweza tukajivunia kama taifa Maana sasa hivi vijana wamebaki ushabiki wa Timu za ulaya

6 X 6 bila kuwahesabu wanaume wa Rombo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…