Matani kama haya yalinifanya niuze fasta tecno yangu nikanunue SAMSUNG, tecno bwana upo kwenye daladala unasikia kale kamlio kasms unajua ni yako kumbe kuna raia kama 4 zinamiliki tecno kama yako [emoji28][emoji28]Ni haki kweli hii wakuu?
Kwanza inaonekana wewe ni 'masikini' uliyejichanga Fedha kwa (kujiuza) ili uweze kununua hiyo simu.Ni haki kweli hii wakuu?
"Haipendezi kujiona bora kwa sababu ya makazi
Kwani utakapo kufa hauozi ?"
Afande Sele
kwaio kuna simu ina gharama kushinda nyumba,wewe nae ndio unaona umefikiria,kwaio asinunue simu akajenge,kweli?Mtoa mada kachemka, wabongo kwa kupenda misifa, utakuta anamiliki simu ya gharama lakini anapanga, fikiri kabla ya kuongea mkuu
bavicha inahusika vipi wewe bwegeWe bavicha acha ushamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu acha dharau ka Vip kafungue Jf yenu ya Samsung iPhone zenu ,si mtuache na tecno na itel naongezea na Huawei ! Kwani vocha unayo nunua inazwa kwa usd ?mb ni hizo nane tu na iPhone yako na Samsung Galaxy 6
Hazichanganyikani...Mi nauliza kama zinachanganyikana
[emoji2][emoji2]bavicha inahusika vipi wewe bwege