igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Unamaanisha Samsung mlipuko ama kitu gani? Sina uzoefu na simu za iPhone ila nazo si za kipekee sana. Acha dharauNi haki kweli hii wakuu?
Kaulizie bei ya huawei P8 mkuu ukiambiwa uje utuhabarisheSijawahi kufikiri kama ipo siku nitanunua tecno,itel au huawei hizo zote huwa zinamilikiwa na mahouse girl!! Na watu wasio kuwa na uhakika wa kuamka kesho ndiyo wanao zimiliki!!
Duuh we una uhakika wa kuamka kesho???Sijawahi kufikiri kama ipo siku nitanunua tecno,itel au huawei hizo zote huwa zinamilikiwa na mahouse girl!! Na watu wasio kuwa na uhakika wa kuamka kesho ndiyo wanao zimiliki!!
KUPATWA KWA AKILI HUKONi haki kweli hii wakuu?
Tecno izo sio samsungmbere
Hivi bado kuna viumbe ambao wamenyimwa aibu kiasi cha kuwa bado wanatamba kwa kuwa na simu za Samsung?
Simu zangu za zamani za Samsung hata kutumia kama bluetooth players nipigie mp3 situmii.
Hata kumfungia mbwa wangu shingoni kama tracker siwezi, zisije kumlipukia bure.
Note 7 sijui walizingua nini, usitutishie wengine tuje kwenye iphone maana zile bwana zipo kiUSA USA Sana.mbere
Hivi bado kuna viumbe ambao wamenyimwa aibu kiasi cha kuwa bado wanatamba kwa kuwa na simu za Samsung?
Simu zangu za zamani za Samsung hata kutumia kama bluetooth players nipigie mp3 situmii.
Hata kumfungia mbwa wangu shingoni kama tracker siwezi, zisije kumlipukia bure.