Hivi sister du akiolewa ataacha kutega?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?
 
Kama lengo la mtego wao ni kuolewa LABDA, wakiolewa watavaa ambazo hazitegi coz watakuwa wamepata walichokuwa wanakitega.[/QUOTE

Sweetlady ni rahisi kweli mtu kuacha tabia aliyoizoea?
 
kama mabandidu au hao ambao sio ma c6cu wakiolewa bado wantega itakua c6du!!?

Af wengine hutega bila hata kujua kama wantega.
 
 
kama sister do amezoea kutega tuu basi ataendelea kutega tuuu na kunata nata na visimu sikuizi daa vinachanganya sana watu kutega hakuishi 24/7
 
kama mabandidu au hao ambao sio ma c6cu wakiolewa bado wantega itakua c6du!!?

Af wengine hutega bila hata kujua kama wantega.

Tasia ila kweli,wengine hata wavae nguo ndefu au za heshima bado unakuta wanatega kutokana na maumbile yao
 
kama sister do amezoea kutega tuu basi ataendelea kutega tuuu na kunata nata na visimu sikuizi daa vinachanganya sana watu kutega hakuishi 24/7

kama ni hvo mbona akiwa mke wa mtu bado atamegwa
 
ukitaka asahau kutega lazima honey moon iwe fulltime mpaka asahau kutega na hakitega kwa juhudi zote hizo basi wacha, huyo kutega ni 4life utaletewa mdudu bure kwa raha zake.
 
ukitaka asahau kutega lazima honey moon iwe fulltime mpaka asahau kutega na hakitega kwa juhudi zote hizo basi wacha, huyo kutega ni 4life utaletewa mdudu bure kwa raha zake.

Ila mi nadhani hata honey moon ziwezi nyingi kutega haachi hayse,mana wenye kutega ni kama vicheche mi nadhani,ila kama walishaolewa
 
Ila mi nadhani hata honey moon ziwezi nyingi kutega haachi hayse,mana wenye kutega ni kama vicheche mi nadhani,ila kama walishaolewa
Kama waweza kumpagawisha ataacha kutega kama haachi basi humpagaishi huyo waachie watoto wa mjini...
 
inawezekana akabadilika kulingana na type ya mwanaume aliyemuoa,kama ni type yake hataweza kubadilika lakina ni mstaarabu basi itabidi aendane naye
 
Nguo za mtego ndo zipi hizo? Unajua sisi wanaume ndo tunaleta matatizo nwyz kila la heri
 
Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?



kuna wengine hata havae vipi yeye bado anatega cause ndo alivyo - hivyo akiolewa bado tu atatega!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…