Hivi sister du akiolewa ataacha kutega?

Hivi sister du akiolewa ataacha kutega?

Ha ha haaa Asha D, kumbe tupo wengi! why show myface there?



Exactly my feeling... i don't criticize wanaofanya but sioni sababu ya kwangu iwepo.... Mtandao umekua too much.. ukijiunga na yoote watu wana connect them dots mpaka unashangaa how they got your infor...
 
Lizzy ni ngumu sana kujua wanawake wanavaa kwa ajili gani,ni kama siri ya mtu,kuna wanaume wanapenda wanawake wenye hips kubwa,au mapaja hasa kuona nyuma ya goti,wengine boobs,na mengine,so wanawake wao unakuta wanavaa kivyao tu but wengine wanavaa kwa nia ya kutega,so hata yule ambaye hajavaa kwa nia ya kutega unakuta anatongozwa na baadaye naingia same line
Ukimchunguza utajua tu....
 
hawez acha kudega, mara nyingi humegwa na mashemeji zake!
 
Back
Top Bottom