basi hapo itabidi tubadilishe kalugha weye watega lakini hukusudii kwavile ni maumbile na kunawale basi wanaonyesha sehemu nyingine mapaka basi hata askofu akipita kama mtu aoni atakulachabo hao watakuwa wanajitegea wakitafuta….The Boss no matter nivae vipi natega.....lol
hata ukivaa gunia lol?
Unajifagilia tu...i doubt it....lol
basi hapo itabidi tubadilishe kalugha weye watega lakini hukusudii kwavile ni maumbile na kunawale basi wanaonyesha sehemu nyingine mapaka basi hata askofu akipita kama mtu aoni atakulachabo hao watakuwa wanajitegea wakitafuta….
tena gunia??? Hilo si ndo all eyes on me...nakwambia hata gunia... Kikubwa nitupie assessories kama mkanda bag nzuri, high heels.... Bla bla bla
hata ukivaa gunia lol?
Unajifagilia tu...i doubt it....lol
mhh wy is it i dont believe it????
Prove it to me....
Asha D,sasa tutafanyaje,mana kuna wamama unaona kabisa wanavaa nguo za heshima but still unaona maungo yalivyojigawa
how do you want me to prove it??
got a facebook page?
Send me ur usernam thru pm
i have to ur photoz to believe you...
Otherwise unachakachua cv lol
nilikua nakutania... Sitegi!...
:doh::doh::doh::doh::doh:
Lizzy ni ngumu sana kujua wanawake wanavaa kwa ajili gani,ni kama siri ya mtu,kuna wanaume wanapenda wanawake wenye hips kubwa,au mapaja hasa kuona nyuma ya goti,wengine boobs,na mengine,so wanawake wao unakuta wanavaa kivyao tu but wengine wanavaa kwa nia ya kutega,so hata yule ambaye hajavaa kwa nia ya kutega unakuta anatongozwa na baadaye naingia same lineHaahhahah....partner nakuona!!
Kwa mtoa mada inategemea huyo mtu anavaa. anavyovaa kwaajili ya nini!Kama ni kufurahisha nafsi yake kuna uwezekano akaendelea ama akaacha kama mumewe hapendi na yeye ni muelewa...kama ni kumtega mtu aingie ndoani anaweza akaacha ndo maana kuna wanaume hua wanalalamika baada ya ndoa tu wale zao hata kujiremba wanaona kazi!!
The Boss no matter nivae vipi natega.....lol
Asha niambie hayse user name yako ya facebook,mana hata mi naona umekaa kimtego sana
Excellent mimi sijajiunga facebook.... no privacy for me there.... Niko dormant na na observe kwa mbali...