mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ukabila ni adui wa maendeleoU muhimu sifuri kwa nini mshamba_hachekwi ?
ndio maana kwanza na juu ya vyote mimi ni mtanzania sio mchaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukabila ni adui wa maendeleoU muhimu sifuri kwa nini mshamba_hachekwi ?
Lazima, uwe na yafuatayo. Eneo/ardhi, lugha, idadi ya watu wa kutosha, mila na desturi, majina ya asili na tofauti na makabila mengine. Kwa vigezo hivi, ni ngumu sawa na kutembea kwa miguu juu ya bahari.Mfano, nikiamua kuanzisha misemo yangu tofauti na Kabila langu la sasa na nikaanza kuwafunza watoto wangu tokea utoto wao na nikajitenga kabisa na jamii yangu kwa mda wa miaka japo mitano je siwezi kufanikisha nia na madhumuni yangu?
Umenishinda tabia, hahahaKwa hiyo members wataitwa MANJONJO
haya! weka manjonjo yako kitandani zaa watoto 360.
wafundishe KINJONJO
TAYARI KABILA HILO
Ninalo eneo la zaidi ya hekta 5000 za urithi tena polini kijijini ndani ndani huko.Lazima, uwe na yafuatayo. Eneo/ardhi, lugha, idadi ya watu wa kutosha, mila na desturi, majina ya asili na tofauti na makabila mengine. Kwa vigezo hivi, ni ngumu sawa na kutembea kwa miguu juu ya bahari.