Hivi siwezi kupata application kwa ajili ya kufuatilia biashara yangu ya miamala?

Hivi siwezi kupata application kwa ajili ya kufuatilia biashara yangu ya miamala?

Bodhichitta

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
315
Reaction score
762
Aslaam,
Wakuu hivi hakuna app, au siwezi kupata application ambayo itanifanya kufuatilia biashara yangu ya MIAMALA?

Nawaza kufanya biashara ya uwakala wa pesa kupitia laini za simu na bank, lakini nataka nimtumie kijana wakati mi mwenyewe nikiwa kwenye shughuli zingine za kujiongezea kipato.

Hii biashara changamoto zake ni utapeli na kukosea miamala, Kwa maana ukiongeza au kupunguza zero tu imekula kwako.

Sasa nilikuwa nafikiria kama kutakuwa na application yoyoye itakayoniwezesha mim kupata ujumbe(notifications) mara tu baada ya Muamala kufanyika.

Yaani natamani nipate application itakayounganisha laini za simu zote pamoja na mashine hizi za bank za uwakala ili mtu akitoa au kuweka pesa Mimi niwe napata ujumbe hapohapo wa kuwa kiasi flani kimewekwa au kutumwa Kwa flani.

Ili kama nitakuwa na mashaka na Muamala hapohapo niwe nawasiliana na kijana ili kuhakikisha ili kama ni utapeli au imekosewa nichukue hatua za haraka.

Lakini pia Kwa mwezi iwe inanipa takwimu za miamala iliyowekwa na kutoa pesa kwenye Kila laini na mashine za benki, ikiwezekana na kiasi Cha kamisheni nilichopata.

Kama ipo naomba kufahamishwa na kama haipo je naweza kutafuta wataalum wakanitengenezea??

Asante,
 
Wewe inaonekana ni type za wale maboss nongwa, ukimuacha kijana dukani unatamani hata punje za Mchele uzihesabu zote,,,,, !
Au types za wale wamama wakinunua nyama wanakataka wenyewe wanahesabu vipande vyote ndo wanamkabidhi dada wa kazi apike,,,,

Kama hela yako ya mawazo unaiwazia sana kaa mwenyewe usimuweke mtu kwenye biashara yako !
 
Wewe inaonekana ni type za wale maboss nongwa, ukimuacha kijana dukani unatamani hata punje za Mchele uzihesabu zote,,,,, !
Au types za wale wamama wakinunua nyama wanakataka wenyewe wanahesabu vipande vyote ndo wanamkabidhi dada wa kazi apike,,,,

Kama hela yako ya mawazo unaiwazia sana kaa mwenyewe usimuweke mtu kwenye biashara yako !
Hivi umesoma unaelewa!?
 
Aslaam,
Wakuu hivi hakuna app, au siwezi kupata application ambayo itanifanya kufuatilia biashara yangu ya MIAMALA?

Nawaza kufanya biashara ya uwakala wa pesa kupitia laini za simu na bank, lakini nataka nimtumie kijana wakati mi mwenyewe nikiwa kwenye shughuli zingine za kujiongezea kipato.

Hii biashara changamoto zake ni utapeli na kukosea miamala, Kwa maana ukiongeza au kupunguza zero tu imekula kwako.

Sasa nilikuwa nafikiria kama kutakuwa na application yoyoye itakayoniwezesha mim kupata ujumbe(notifications) mara tu baada ya Muamala kufanyika.

Yaani natamani nipate application itakayounganisha laini za simu zote pamoja na mashine hizi za bank za uwakala ili mtu akitoa au kuweka pesa Mimi niwe napata ujumbe hapohapo wa kuwa kiasi flani kimewekwa au kutumwa Kwa flani.

Ili kama nitakuwa na mashaka na Muamala hapohapo niwe nawasiliana na kijana ili kuhakikisha ili kama ni utapeli au imekosewa nichukue hatua za haraka.

Lakini pia Kwa mwezi iwe inanipa takwimu za miamala iliyowekwa na kutoa pesa kwenye Kila laini na mashine za benki, ikiwezekana na kiasi Cha kamisheni nilichopata.

Kama ipo naomba kufahamishwa na kama haipo je naweza kutafuta wataalum wakanitengenezea??

Asante,
inawezekana boss ila iwe nje ya system za mitandao na bank nikiwa namaanisha kijana lazima arekodi taarifa za kuamala kwenye system yako binafsi na kwa wakati huo huo wewe ukiwa popote pale utaona miamala iliyoingia na iliyotoka na pia muda huo huo utajua mkononi amebakiwa na cash kiasi gani...
2dashboard.png


hii ni system yangu ya kusimamia biashara inaitwa fedhabook inasaidia wafanyabiashara kusimamia shughuli zao hata kama wapo mbali na biashara yao.

unaweza nitafuta tukajadili.
 
inawezekana boss ila iwe nje ya system za mitandao na bank nikiwa namaanisha kijana lazima arekodi taarifa za kuamala kwenye system yako binafsi na kwa wakati huo huo wewe ukiwa popote pale utaona miamala iliyoingia na iliyotoka na pia muda huo huo utajua mkononi amebakiwa na cash kiasi gani...View attachment 3154735

hii ni system yangu ya kusimamia biashara inaitwa fedhabook inasaidia wafanyabiashara kusimamia shughuli zao hata kama wapo mbali na biashara yao.

unaweza nitafuta tukajadili.
Sawa kiongozi
 
Wewe inaonekana ni type za wale maboss nongwa, ukimuacha kijana dukani unatamani hata punje za Mchele uzihesabu zote,,,,, !
Au types za wale wamama wakinunua nyama wanakataka wenyewe wanahesabu vipande vyote ndo wanamkabidhi dada wa kazi apike,,,,

Kama hela yako ya mawazo unaiwazia sana kaa mwenyewe usimuweke mtu kwenye biashara yako !
Pesa ya mtu ni ya mtu na mtaji wa mtu ni wa mtu msimpangie jinsi ya kusimamia pesa zake ni haki yake , watanzania kwa asili ni wabinafsi, wezi na wadokozi ni muhimu ukimuajiri umsimamie haswa hasa hasa mianya ya wizi vinginevyo utafilisiwa.
 
Aslaam,
Wakuu hivi hakuna app, au siwezi kupata application ambayo itanifanya kufuatilia biashara yangu ya MIAMALA?

Nawaza kufanya biashara ya uwakala wa pesa kupitia laini za simu na bank, lakini nataka nimtumie kijana wakati mi mwenyewe nikiwa kwenye shughuli zingine za kujiongezea kipato.

Hii biashara changamoto zake ni utapeli na kukosea miamala, Kwa maana ukiongeza au kupunguza zero tu imekula kwako.

Sasa nilikuwa nafikiria kama kutakuwa na application yoyoye itakayoniwezesha mim kupata ujumbe(notifications) mara tu baada ya Muamala kufanyika.

Yaani natamani nipate application itakayounganisha laini za simu zote pamoja na mashine hizi za bank za uwakala ili mtu akitoa au kuweka pesa Mimi niwe napata ujumbe hapohapo wa kuwa kiasi flani kimewekwa au kutumwa Kwa flani.

Ili kama nitakuwa na mashaka na Muamala hapohapo niwe nawasiliana na kijana ili kuhakikisha ili kama ni utapeli au imekosewa nichukue hatua za haraka.

Lakini pia Kwa mwezi iwe inanipa takwimu za miamala iliyowekwa na kutoa pesa kwenye Kila laini na mashine za benki, ikiwezekana na kiasi Cha kamisheni nilichopata.

Kama ipo naomba kufahamishwa na kama haipo je naweza kutafuta wataalum wakanitengenezea??

Asante,
Kwa simu ukitumia smartphone katika kufanya hiyo miamala inawezekana, kwa kuscan app ya msg zako na computer yako hivyo utaweweza kuwa unapokea msg zote zilizo kwenye inbox ya simu hiyo kwenye pc yako. Kwa bank sijui
 
Sio Nchi zote Duniani zinatumia System za mambo ya Fedha Kama zinazotumika hapa kwetu Tanzania..... Hasa Miamala kupitia Simu za Mkononi...!

Huduma zetu ni rahisi kutumia na rafiki popote, hata South Africa hawana aina ya Huduma za Miamala ya Simu Kwa namna tuliyonayo.

Idea Yako ni nzuri Mimi nimeielewa....! Ningekua mtu wa Code, ningeanza kufikilia kuanzia Sasa hivi namna Gani ntatengeneza Application ambayo mtu aki download, anaweza kufatilia kila muamala toka kwenye eneo lake la Biashara hata kama akiwa na Office zaidi ya Moja...!

Means akiongia tu Kwa app, anaweza ku switch kwenda Tigo kucheki Miamala, akaenda Voda, ama NMB ama NBC n.k....!

Nahisi hili linawezekana na Mtu atayefanya hili atapiga Hela.
 
Bado unawaza kufanya, ushawaza mpaka App????!!!!!!!!
 
Vijana wetu wa IT chukueni wazo na mlifanyie kazi.
Sio mnajua kuandaa app za umbea na kudinyana.
 
Sio Nchi zote Duniani zinatumia System za mambo ya Fedha Kama zinazotumika hapa kwetu Tanzania..... Hasa Miamala kupitia Simu za Mkononi...!

Huduma zetu ni rahisi kutumia na rafiki popote, hata South Africa hawana aina ya Huduma za Miamala ya Simu Kwa namna tuliyonayo.

Idea Yako ni nzuri Mimi nimeielewa....! Ningekua mtu wa Code, ningeanza kufikilia kuanzia Sasa hivi namna Gani ntatengeneza Application ambayo mtu aki download, anaweza kufatilia kila muamala toka kwenye eneo lake la Biashara hata kama akiwa na Office zaidi ya Moja...!

Means akiongia tu Kwa app, anaweza ku switch kwenda Tigo kucheki Miamala, akaenda Voda, ama NMB ama NBC n.k....!

Nahisi hili linawezekana na Mtu atayefanya hili atapiga Hela.
Ni kweli kabisa kiongozi, we umenipata vizuri saana
 
Wewe inaonekana ni type za wale maboss nongwa, ukimuacha kijana dukani unatamani hata punje za Mchele uzihesabu zote,,,,, !
Au types za wale wamama wakinunua nyama wanakataka wenyewe wanahesabu vipande vyote ndo wanamkabidhi dada wa kazi apike,,,,

Kama hela yako ya mawazo unaiwazia sana kaa mwenyewe usimuweke mtu kwenye biashara yako !
Kwahiyo unataka mtu afungue biashara yake halafu aiachieee tu kama kakufungulia wewe yani.....heeeee wewe!!!!
 
Changamoto kubwa katika development ya app ya kufuatilia miamala ni kwamba mifumo ya malipo nchini, kama vile mobile money na banks, haijatoa APIs zao za mawakala kwa public use. Hii inamaanisha kwamba ni vigumu sana kwa developers kuunda mfumo ambao unaweza kuwasiliana moja kwa moja na akaunti za mawakala.

Kwa sasa, solutions zilizopo zina mapungufu makubwa. Kwa mfano, kwa kila muamala unapotumwa au kupokelewa, itabidi kuingiza data manually kwenye mfumo. Hii inapunguza ufanisi na inafanya iwe ngumu kufuatilia biashara kwa real-time ikiwa data zitachelewa kuingizwa, lakini itakosa ufanisi kwa wafanya biashara ambao wanahudumia wateja wengi kwa mara moja kwa kuwa inaweza kutokea uka_overlook baadhi ya miamala na hivyo kutoiingiza kwenye records.

Hivyo, kama watoa huduma wa banks na mobile money wangeweka APIs zao za mawakala wazi, developers tungeweza kutengeneza app moja inayounganisha huduma zote. Wakala angeweza kufuatilia biashara zake zote kwa kutumia app kirahisi hivyo kufanya mfumo uwe effective, efficient, and reliable.

Kwa sasa, ukitafuta app ya kufuatilia biashara ya miamala, utapata systems ambazo zinaweza kusaidia kwa kiasi, lakini nyingi bado zinakosa effectiveness, efficiency na haziko reliable sababu ya ukosefu wa APIs za uwakala kutoka kwa watoa huduma (banks/mitandao ya simu).

Changamoto hiyo inapelekea pia ubunifu kwenye sekta ya fedha nchini kwetu kuwa wa chini sana ukilinganisha na nchi kama Nigeria ambapo APIs za provider karibu wote wa huduma za fedha zipo public.
 
Aslaam,
Wakuu hivi hakuna app, au siwezi kupata application ambayo itanifanya kufuatilia biashara yangu ya MIAMALA?

Nawaza kufanya biashara ya uwakala wa pesa kupitia laini za simu na bank, lakini nataka nimtumie kijana wakati mi mwenyewe nikiwa kwenye shughuli zingine za kujiongezea kipato.

Hii biashara changamoto zake ni utapeli na kukosea miamala, Kwa maana ukiongeza au kupunguza zero tu imekula kwako.

Sasa nilikuwa nafikiria kama kutakuwa na application yoyoye itakayoniwezesha mim kupata ujumbe(notifications) mara tu baada ya Muamala kufanyika.

Yaani natamani nipate application itakayounganisha laini za simu zote pamoja na mashine hizi za bank za uwakala ili mtu akitoa au kuweka pesa Mimi niwe napata ujumbe hapohapo wa kuwa kiasi flani kimewekwa au kutumwa Kwa flani.

Ili kama nitakuwa na mashaka na Muamala hapohapo niwe nawasiliana na kijana ili kuhakikisha ili kama ni utapeli au imekosewa nichukue hatua za haraka.

Lakini pia Kwa mwezi iwe inanipa takwimu za miamala iliyowekwa na kutoa pesa kwenye Kila laini na mashine za benki, ikiwezekana na kiasi Cha kamisheni nilichopata.

Kama ipo naomba kufahamishwa na kama haipo je naweza kutafuta wataalum wakanitengenezea??

Asante,
Hapo nakutengenezea app maalumu, una install kwenye hizo simu anazitumia kufanya miamala , app hiyo unaipa full access (ie permissions za SMS, Phone, Location, etc), app hiyo itakusanya information na kutuma kwenye server, server itachambua SMS za miamala na taarifa nyingine), wewe utakuwa na application yako, hizo taarifa utaziona kwenye hiyo app(na taarifa nyingine mfano: akitoa lain, akizima simu, akiweka airplane mode, akifuta sms,akipiga namba ambazo zinafungua USSD dialog), nipe ilo dili,
 
Miamala unaweza kuifuatilia, Je vipi hela Cash utaweza kuzisimamia wakati haupo site?
Kwa taarifa yake tu anaweza kwenda bank au mtandao husika na akaunganishwa unavyotaka.

Kimsingi hatakuwa na muda wala uwezo wa kufuatilia kila mwamala, labda awe amekaa muda wote anaangalia simu. Maana yake ni atajipa kazi nyingine kubwa sana.
 
Back
Top Bottom