Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Habari za masiku waungwana katika medali ya soka. Kwa ambaye amefuatilia michuano ya Uefa msimu huu atakuwa kanote kitu, mpira wa ulaya umekuwa sio kama kipindi cha zamani ambapo timu zilikuwa zinategemea matokeo zaidi inapokuwa nyumbani. Lakini tokea UEFA wafute mfumo goal la away na kuja na mfumo wa aggregate naona mpira umekuwa na matokeo yakushangaza, timu zinanyukiwa huko huko majumbani kwao
Tukio la kwanza nakumbuka kwenye group stage game ya Atalanta dhidi ya Villareal. Hii game Atalanta walikuwa wanahitaji ushindi wa magoli yoyote yale ili afuzu na walikuwa wapo nyumbani, lakini walikumbwa na msiba mzito kutoka Villareal walilambwa magoli matatu na kutolewa. Mechi nyingine inayofanana na scenario kama hiyo ni ya Wolfsburg vs lile na porto dhidi ya Atletico Madrid.
Mechi ya hatua ya mtoano kati ya Juventus vs Villareal.
Kwa hali ya kizamani kitendo cha juve kupata sare ya 1-1 away ilikuwa mechi imeisha hiyo kwa juve kupita kwavile anamaliza home. Ila Juve kachezea goli tatu kwa buyu huko huko kwao .
Mechi ya Ajax vs Benfica hivyo hivyo
Liverpool vs Intermilan, chelsea vs real Madrid hizi mechi timu zilibadilisha tu viwanja vya kushindia kila mmoja katamba nyumbani kwa mwenzie. Japo kwa Madrid ilikuwa almanusura kuaga.
Liverpool vs Benfica kila mmoja alitegemea mechi ya marudiano ingekuwa nyepese kwa Liver ila hali ilikuwa tofauti nyumbani.
Bayern Munich vs Villareal hapa kwa hali ya kizamani, ni kwamba kushinda home kwa ushindi mwembamba hivyo tena dhidi ya Munich basi uhesabie kupigwa mengi, lakini Bayern wanaagia hapo hapo kwao
Atalanta vs Leipzig na Barcelona vs Frankfurt walipata matokeo mazuri sana ya sare sare walipokuwa ugenini lakini wamekutana na vipigo vitakatifu nyumbani mwao kwenye marudiano.
Hapo nimejaribu kuchukua timu maarufu ambazo zimepata shida majumbani kwao tofauti na misimu ya nyuma ambapo unajua kabisa timu ilifungwa away inaenda kufanya come back ya hatari home. Na timu ikizingua first leg home kwake basi huyo hana chake tena ataenda kupigwa tena second leg.
Tukio la kwanza nakumbuka kwenye group stage game ya Atalanta dhidi ya Villareal. Hii game Atalanta walikuwa wanahitaji ushindi wa magoli yoyote yale ili afuzu na walikuwa wapo nyumbani, lakini walikumbwa na msiba mzito kutoka Villareal walilambwa magoli matatu na kutolewa. Mechi nyingine inayofanana na scenario kama hiyo ni ya Wolfsburg vs lile na porto dhidi ya Atletico Madrid.
Mechi ya hatua ya mtoano kati ya Juventus vs Villareal.
Kwa hali ya kizamani kitendo cha juve kupata sare ya 1-1 away ilikuwa mechi imeisha hiyo kwa juve kupita kwavile anamaliza home. Ila Juve kachezea goli tatu kwa buyu huko huko kwao .
Mechi ya Ajax vs Benfica hivyo hivyo
Liverpool vs Intermilan, chelsea vs real Madrid hizi mechi timu zilibadilisha tu viwanja vya kushindia kila mmoja katamba nyumbani kwa mwenzie. Japo kwa Madrid ilikuwa almanusura kuaga.
Liverpool vs Benfica kila mmoja alitegemea mechi ya marudiano ingekuwa nyepese kwa Liver ila hali ilikuwa tofauti nyumbani.
Bayern Munich vs Villareal hapa kwa hali ya kizamani, ni kwamba kushinda home kwa ushindi mwembamba hivyo tena dhidi ya Munich basi uhesabie kupigwa mengi, lakini Bayern wanaagia hapo hapo kwao
Atalanta vs Leipzig na Barcelona vs Frankfurt walipata matokeo mazuri sana ya sare sare walipokuwa ugenini lakini wamekutana na vipigo vitakatifu nyumbani mwao kwenye marudiano.
Hapo nimejaribu kuchukua timu maarufu ambazo zimepata shida majumbani kwao tofauti na misimu ya nyuma ambapo unajua kabisa timu ilifungwa away inaenda kufanya come back ya hatari home. Na timu ikizingua first leg home kwake basi huyo hana chake tena ataenda kupigwa tena second leg.