screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Mi naona muziki wao unaendeshwa na beat zaidi ndio maana unafanywa sana na madj na producers, na sijui kwanini ni nadra kuona wimbo unafanywa na mtu mmoja, ni lazima wajikusanye kuanzia watatu na kuendelea.
Wasanii wakubwa wenye nguvu ni wachache sana, sio kama Nigeria ambapo majina ya wasanii ni makubwa yakiendana na ukubwa wa muziki wao.
Muziki wao 'Amapiano' umekamata sana Africa kwasasa, cha ajabu majina ya wasanii wao sio makubwa kihivo
Wasanii wakubwa wenye nguvu ni wachache sana, sio kama Nigeria ambapo majina ya wasanii ni makubwa yakiendana na ukubwa wa muziki wao.
Muziki wao 'Amapiano' umekamata sana Africa kwasasa, cha ajabu majina ya wasanii wao sio makubwa kihivo