uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Jidili hoja sio vihoja
Hakuna hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jidili hoja sio vihoja
Kama hujaona hoja umefuata nini
Amaliano ni staili ya muziki iliyozuka ikabamba, kama singeli huku kwetu, ila wapo wanamuziki wenye nyumbo zenye mashairi tofauti na Amapiano...ni vile tu huku kwetu nyimbo zao siku hizi hazitufikii, ila ukitafuta kupitia mtandao utazipata!Mi naona muziki wao unaendeshwa na beat zaidi ndio maana unafanywa sana na madj na producers, na sijui kwanini ni nadra kuona wimbo unafanywa na mtu mmoja, ni lazima wajikusanye kuanzia watatu na kuendelea.
Wasanii wakubwa wenye nguvu ni wachache sana, sio kama Nigeria ambapo majina ya wasanii ni makubwa yakiendana na ukubwa wa muziki wao.
Muziki wao 'Amapiano' umekamata sana Africa kwasasa, cha ajabu majina ya wasanii wao sio makubwa kihivo
Hizo ni style ambazo zinaibuka na zingine zinadumu zingine zinapita na muda kama ilivyokuwa Kongo na style zao za Ndombolo, Kwasakwasa, kibindankoi n.kWalikuwa wanajitafuta sasa wamejipata
Imeanza kwenye kwaito na ni mlakati wao ndio wameweka hivyo....
DJ tira au Mapholisa walianza kitambo ila cheki kwaito ilivyowabana wakaenda nayo huku wanajitafuta na sasa Amapiano ndio new school yao
Hapa mafik zolo hawawezi ingia sababu wamejisahau kwenye hili tobo.
Je kwanini unafanywa na djs sanasana?Hizo ni style ambazo zinaibuka na zingine zinadumu zingine zinapita na muda kama ilivyokuwa Kongo na style zao za Ndombolo, Kwasakwasa, kibindankoi n.k
Lakini kwa miaka yote, bado beat nzito inabeba muziki wao, hata kwa nyimbo za taratibu utaona zimeshiba beat, ndio style ya muziki wao.....
Kabisa mkuu.. Ni nyimbo chache za SA zinakuwa hits ndio maana wimbo kama I love you ya thami. Imehit bongo wakati jamaa alishafariki almost mwakaAmaliano ni staili ya muziki iliyozuka ikabamba, kama singeli huku kwetu, ila wapo wanamuziki wenye nyumbo zenye mashairi tofauti na Amapiano...ni vile tu huku kwetu nyimbo zao siku hizi hazitufikii, ila ukitafuta kupitia mtandao utazipata!
Duh, but kila msanii anandoto ya kuwa mainstreamAmapiano ni muziki tu unaotrend lakini haimaanishi hawana solo artists au genre zinafanya vizuri zaidi mfano kwenye kwaya SA haina mpinzani ndio maana Kwaya kama Soweto zina grammy
Kuna wasanii kama Zahra, Loyiso na marehemu thami tebede ambao ukisikia nyimbo zao kwa vocals, mashairi na hata melodies unaona kabsaa, kuna vitu unakosa ukisubiria mainstream
Enzi hizo kwaito wakina Mafikizolo walikuwa na hits. Watu wengi wanaiga muziki wao na kupata mafanikio na umaarufu mkubwa hasa wanaija, ila wao na muziki wao wanabakia kuwa wa kawaida. Mfano huyo Black Coffee anayeonekana ana mafanikio je ni dj/mwanamuziki/producer? [emoji56]. Na je kwa miaka ya hivi karibuni let's say miaka 10 iliyopita wameshawahi fanikiwa kupata msanii mkubwa anayeweza kupiga show Africa nzima akaeleweka kama ilivyo kwa wanaija?Kabisa mkuu.. Ni nyimbo chache za SA zinakuwa hits ndio maana wimbo kama I love you ya thami. Imehit bongo wakati jamaa alishafariki almost mwaka
Na hata Nigeria, watu kama Asa au chike ambao ni pure singers hawapati mafanikio makubwa kama wenzao wa afro beats..
Sijaelewa lengo lako unapouliza kwa nini unapigwa na Ma DJ, kama vile ni kosa kupigwa na Madj kama wakina Black Coffee... ni aina ya muziki ulivyo, lakini bado hautafsiri muziki wa SA japo unatokea huko. Huwezi kusema huo ndio muziki wa SA, nilikuambia mwanzo kuwa hiyo ni style tu imekuja na upepo wa wakati. Wewe unaongelea amapiano kama ndio style kuu ya muziki wa SA. Chukulia tu kama singeli hapa bongo.Enzi hizo kwaito wakina Mafikizolo walikuwa na hits. Watu wengi wanaiga muziki wao na kupata mafanikio na umaarufu mkubwa hasa wanaija, ila wao na muziki wao wanabakia kuwa wa kawaida. Mfano huyo Black Coffee anayeonekana ana mafanikio je ni dj/mwanamuziki/producer? [emoji56]. Na je kwa miaka ya hivi karibuni let's say miaka 10 iliyopita wameshawahi fanikiwa kupata msanii mkubwa anayeweza kupiga show Africa nzima akaeleweka kama ilivyo kwa wanaija?
Sio kosa, ila nnapatwa na shauku la kujua kwanini madj ndio wanaufanya na sio wanamuziki kama huku kwetu ama kwingineko kama Naija, yaani tafsiri yao ni kama Amapiano kwao sio wimbo kamili bali ni beat na vionjoSijaelewa lengo lako unapouliza kwa nini unapigwa na Ma DJ, kama vile ni kosa kupigwa na Madj kama wakina Black Coffee... ni aina ya muziki ulivyo, lakini bado hautafsiri muziki wa SA japo unatokea huko. Huwezi kusema huo ndio muziki wa SA, nilikuambia mwanzo kuwa hiyo ni style tu imekuja na upepo wa wakati. Wewe unaongelea amapiano kama ndio style kuu ya muziki wa SA. Chukulia tu kama singeli hapa bongo.
Sasa kwa nini wanaija wanatamba zaidi kuliko wao, tujiulize kwa nini wanaija wanatamba kuliko sisi. Sababu ni zilezile, ila tu nitakuambia Muziki wa SA haujashuka, uko palepale, wanaija hawakuwa katika level waliyopo sasa ndio maana unaona kama wa SA wameshuka, hapana. Na utasikia wengine wakifanya muziki.wa SA ila hutasikia wa SA wakifanya muziki kutoka kwingine.