Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,966
- 6,593
Inawezekana. Ila dhamira itamsukuma tu na Kama hatafanya hilo maisha yake yote yatakuwa ya kulaaniwa.Unfortunately huyu Mgogo hawezi, anachuki za kudharauliwa inferiority complex huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana. Ila dhamira itamsukuma tu na Kama hatafanya hilo maisha yake yote yatakuwa ya kulaaniwa.Unfortunately huyu Mgogo hawezi, anachuki za kudharauliwa inferiority complex huyu.
Nchi siyo chama,Tza itaendelea kuwepo pasipo uwepo wa ccmKabisa
Umenena vyema ndugu yangu…CCM ipasuke vipande viwili tu wala sio vingi…ndio kitaeleweka la sivyo ni business as usual…
Majira yake yapo karibu. Na ndiyo itakayompunguzia chuku kutoka kwa watanzaniaAsante hivo mapema kabla hajavuliwa uanachama,kwamaana hata eleweka.
True lile ni bunge la magufuli na sio la watzaKwanini wasivunje hilo bunge fake tuanze upya
Hasara tupu kwa taifaTrue lile ni bunge la magufuli na sio la watza
Ccm haiko tayari kwa hilo.Kwa nini Tanzania tusifanye siasa kama za Kenya?
Sanaaaa..Unadhani kuwatoa kafara 2 au 3 nirahisi?
Huruma ya mzazi ndo imemponza,sisi wapiga kelele tulimuonya mapema mwanzo tukimtakia mema,wasio watoto wako fukuza nadhani ameelewa sasa.
kweli kabisa,asante mtu wa Mungu.Maslai ya mswahili yanapokoma akili urudi toka likizo.
Yule aliyepita aliwatuza Sana waimba kwaya.
Ilikuhitaji dakika 5 kuimba kwaya kesho asubui umeletewa v8 na barua ya uteuzi.
Chawa wameyakosa haya ndo chanzo cha makelele,mara wahuni,mara kukopa,mara sijui amaleki,nk.
Na huo ndio ukweli wenyewe,yule mwehu alituletea mambo ya Rwanda mpaka tukapata Bunge dhaifu kuwahi kutokea.True lile ni bunge la magufuli na sio la watza
Mimi siitaji stressMheshimiwa Job Ndugai, umekuwa ukihaha sana kwa siku za hivi karibuni kikosoa serikali kwa Mambo menngi. Kimsingi serikali sio Mungu na huwa inakosea sana. Japo pia makosa mengi ya serikali zetu yalitokana na udhaifu na Unafiki wa Bunge ambalo wewe umekuwa sehemu ya uongozi wake kwa muda mrefu.
Ndio maana uliwahi hata kujishangaa mwenyewe ulipong'aka na kuhoji Bungeni kuwa "HIVI KWELI SHERIA HII TULIIPITISHA SISI HUMU BUNGENI"?
Lakini usisahau kuwa wale waliokuwa mstari wa mbele kuikosoa na kuikumbusha serikali wajibu wake walichukiwa na kupigwa vita na cha ajabu na wewe Ndg Ndugai ukaungana kuwapiga vita kwa namna namna.
Leo unahitahidi kuwa Kiongozi wa mhimili na Kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa dhambi uliyoiunga mkono na kuishiriki kwa gharama zote na rasilimali za Bunge.
Wewe sio mwana CCM kuliko Hayati Mwalimu Nyerere, Lakini Mwalimu Nyerere aliona wazi bila Upinzani Nchi hii ingeenda kusiko, akasimama kidete kuunga mfumo wa vyama vyingi Nchini.
Kila serikali huja na maono yake pamojana kubeba mizigo na madudu ya watangulizi wake. Muache Mheshimiwa Samia atekeleze aliyokusudia na wakati ndio utamhukumu sio Bunge dhaifu.