Hivi Spika Ndugai ameokoka siku hizi?

Nionyeshe mwanaume anaetembea akiburuza miguu na kichwani akawa 'smart' nami nitakuonyesha dereva wa lory la masafa mwenye mke mmoja.
 
Nchi ni yetu sote,tuipende kwa dhati wacha tukope na kulipa ni lazima kwa maendeleo yetu.Tabu ni pale wahuni wakitafuna mkopo!
 
Huruma ya mzazi ndo imemponza,sisi wapiga kelele tulimuonya mapema mwanzo tukimtakia mema,wasio watoto wako fukuza nadhani ameelewa sasa.


Kwa mtazamo wako huu…shamba angetakiwa kuachiwa mlinzi alilinde mpaka hapo bwana shamba mpya atakapopatikana…
 
Hivi nyie waswahili mnajadili utumbo mtupu humu ndani, mnafikiri hayo madeni atalipa nani? Hata kama unapewa vihela kutukana watu humu ujue hukujizaa ndugu zako including waliokuzaa watatoa jasho la damu kulipa! Mtu anakupa sh.1 ulipe baada ya miaka 20 sh.7 hiyo ni akili/ matope? Mnafikiri mtaendelea kwa kukopa?
 
kweli kabisa,asante mtu wa Mungu.
 
Hivi Ndugai si anaweza kuitisha kura ya kutokuwa na imani na Rais kisha Rais akang'oka?

Wajuvi njoo mtusaidie sisi Su-****-gang
 
Afukuzwe unachama aone kama ataendelea kuwa spika
 
Mimi siitaji stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…