ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Nashindwa kuelewa, yaani eneo la nyuma ya stendi kuna soko la vyakula, ila cha ajabu sehemu zinapopark daladala zimezungukwa kwa kupangwa nyanya, viazi, machungwa nk.
Yaani njia ya kupita shida pindi unapanda daladala, hata madereva wanalalamikia hili.
Pia hupelekea watu kupigana kwa kunyaga bidhaa hizi. Yaani unakuta gari unalotaka kupanda limezungukwa na bidhaa za sokoni pande zote,hivyo uruke bidhaa ndiyo uingie ndani ya gari.
Yaani njia ya kupita shida pindi unapanda daladala, hata madereva wanalalamikia hili.
Pia hupelekea watu kupigana kwa kunyaga bidhaa hizi. Yaani unakuta gari unalotaka kupanda limezungukwa na bidhaa za sokoni pande zote,hivyo uruke bidhaa ndiyo uingie ndani ya gari.