Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Amen...Nakazia, naongezea wale wanaovaa sijui macheni makubwa wameyaning'ing'iniza au mipete ya ajabu. Mwanaume vaa saa tu inatosha kama ni pete basi iwe ya ndoa, kifupi sipendi mtu anaevaa pete kama urembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata kumuuliza hatoulizwa.Wavae hata magunia fresh tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe dada noma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu
asante mkuu kwa ushauri wakoHata ukivaa guniaaa..pochi ikiwa nene inaonekana tu umependeza sana...hivo yani
Vaa vile unavyoona uko smart usivae kwa ajili ya kumfurahisha mwingine.okey mkuu
Nasubiri kupingwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekumithWangu namvutia hivi...[emoji5] [emoji5] View attachment 1014937
Ailavu yuu tuu[emoji8] [emoji8]
Na mm nikazie, sipendi mwanaume muda wote unamkuta na open shoes,. Na hayo machen Chen Yao siyapendi hawajuagi tuNakazia, naongezea wale wanaovaa sijui macheni makubwa wameyaning'ing'iniza au mipete ya ajabu. Mwanaume vaa saa tu inatosha kama ni pete basi iwe ya ndoa, kifupi sipendi mtu anaevaa pete kama urembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanaopaka madawa kichwan hapana kwa kwel, unakuta mkaka kichwan nywele kama manyoya ya paka kajisiliba cjui ma superblack..mwanaume vaa tu kawaida nyoa nywele vzuri uwe smart bas.Na mm nikazie, sipendi mwanaume muda wote unamkuta na open shoes,. Na hayo machen Chen Yao siyapendi hawajuagi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigua umeshindwa kunidirect huku kwenu watoto wakali Grade A plus wanapatikana wapi? Mpaka nataka kuondoka tanga siioni ile " TANGA RAHA" iliyomfanya bwana misosi akatoa nyimbo
We weka mpunga kwenye waleti hafu ikae mfuko wa nyumba hadi ukikaa upande mmoja wa mwili unashuka hapo utaona binti hujamuongelesha ameshakuamkia na tabasam muruaHabari wakuu, hivi wanawake mnavutiwa na aina gani ya mavazi kwa wanaume ,tiririkeni wakuu
Unakazi kubwa sana.Habari wakuu, hivi wanawake mnavutiwa na aina gani ya mavazi kwa wanaume ,tiririkeni wakuu
Niko njiani now narudi dar, nimekosa watoto wazuriNimeona wamekuelekeza mkuu.. mimi nishakua mgeni kwenye huo mji sijui hata viwanja vyao tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo hizi Jeans zangu zilizochanika magotini nizitupe???au nigawe!!Mavazi mazuri ya heshima...iwe jeans surual ya kitambaa poa tu ili mradi iwe ya heshima,vaa uwe smart sio unavaa Kama kibaka
Sipendi mwanaume anaevaa suruali za kutoboka mapajani na magotini utadhani suruali imeliwa na panya...nikiomuona mtu wa hivyo moja kwa moja namdefine vibaya
Kuna wale wanavaa kaptula.,pensi sijui
Yaani unakuta mtu amevaa iko kikaptula kipoo juuu juu huku magoti na mapaja yapo wazi...Mwanaume wa hivyo hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
pesa kuanzia sh ngapi mchumbaUkiwa na pesa hata ukivaa gunia unavutia.
Kauli yangu Sio sheriaKwahyo hizi Jeans zangu zilizochanika magotini nizitupe???au nigawe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
0.