Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa mbaya zaidi unakuta ni cha rangi ya pink,njano au nyekundu!
Tofautisha KAPTULA na KIKAPTULA...!!!Nyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.
Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!
Hapa ni aibu tupu!
Hakika mkuu nimekubaliana nawewe... Hayo mavazi hayawezi kuzuia ujenzi wa viwandaKila vazi linafaa kulingana na nyakati na mazingira husika.....kulingana na utashi wa mhusika......
Ukomavu ni pamoja na kujua kuwa kila mtu hawezi kuishi kulingana na maoni yako na mtazamo wako......
Mimi si mpenzi wa hayo mavazi lakini siwezi kukereka na vazi la mwingine kwa kuwa ni maisha yao.....
DUNIA NI MSONGAMANO
KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI
Hakuna sheria ya kaptura mkuu.. Tafsiri ya kaptura haipo kwenye kamusi...Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!
Nyumbani tunavaa kanga tu........Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.
Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.
Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?
Nway, I think we have to change!
Kuna biashara wanakuwa wanatangaza.Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.
Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.
Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?
Nway, I think we have to change!
Acha siasa kila mahali, vikaptula vya kubana, vya pink kwa wanaume ni ushoga, usipepese macho.Kila vazi linafaa kulingana na nyakati na mazingira husika.....kulingana na utashi wa mhusika......
Ukomavu ni pamoja na kujua kuwa kila mtu hawezi kuishi kulingana na maoni yako na mtazamo wako......
Mimi si mpenzi wa hayo mavazi lakini siwezi kukereka na vazi la mwingine kwa kuwa ni maisha yao.....
DUNIA NI MSONGAMANO
KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI
Enzi za Dakta Shika pia tulivaa ..!Na enzi za mwalim je, mbona mlikua mnavivaa