Hivi style ya 'kikaptula' ya wanaume wa siku hizi imekaaje?

Hivi style ya 'kikaptula' ya wanaume wa siku hizi imekaaje?

Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.

Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.

Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?

Nway, I think we have to change!
Asili yake ni ma gay wa ulaya sasa huku kwetu wanaojiona wajanja wenye vijihela ndo wanavaa kama fasheni.Si tunawaangalia tu,walisuka nywele,wakatoga masikio na kuweka vidani puani,wanavaa blauzi na viatu vya kike tunawaangalia tu,sasa acha wavae vikaptula na hatimaye bikini!
 
Imekaa maalumu sehemu za joto. Kama uko sehemu za baridi achana na vikaputula.
 
Mashoga ao serious am telling you bro mtu anayejielewa kujiheshimu na kutunza utu wake hawezi vaa hivyo akaenda mazingira public
Ni kweli kabisa mimi ni mdau wa fashion lakini hapo sijakubaliana nako unakutamtu mpaka unashindwa vuka barabara unabadilisha njia ili tu hata uskutane naye akakusimamisha
 
Mimi si mtumiaji sana wa mavazi hayo lakini nauchukulia huo kama mtazamo wangu na siwezi kumhukumu au kuchukia anachovaa mtu mwingine kwa kuwa hakina impact kwenye maisha yangu ya kila siku.......

Kama jamii tunapaswa kuishi kwa kuvumiliana ili kuleta msawazo na utengamano kwenye jamii yetu.......

Tunaishi kwenye jamii ya watu mbali mbali na wenye mitazamo tofauti tofauti.........

Kama unaona mtu wako wa karibu anakengeuka na kutoka kwenye mstari kwa busara unatakiwa kumuelekeza na kumuweka sawa kama mshauri.........na sio kumtukana

Kuna wengine wanafanya hivyo kwa kutokujua na kufuata mkumbo.........
hapa tatizo sio kukerwa na mvaaji, ila sasa tunataka kujua kama ni vazi tu la kawaida au kuna na tangazo la biashara ndani yake.
 
hapa tatizo sio kukerwa na mvaaji, ila sasa tunataka kujua kama ni vazi tu la kawaida au kuna na tangazo la biashara ndani yake.
Hakuna mavazi rasmi ya wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja......

Badili mitazamo yako juu ya watu wasiokuwa na impacts kwenye maisha yako ili uishi maisha yako kwa furaha na amani........
 
Kama kuvaa, kavaa yeye, wewe inakuhusu nini?
Hata asipova kaptula inakufurahisha nini?
Tujifunze kujali mambo yetu na kujiepusha na wengine
 
Kila vazi linafaa kulingana na nyakati na mazingira husika.....kulingana na utashi wa mhusika......

Ukomavu ni pamoja na kujua kuwa kila mtu hawezi kuishi kulingana na maoni yako na mtazamo wako......

Mimi si mpenzi wa hayo mavazi lakini siwezi kukereka na vazi la mwingine kwa kuwa ni maisha yao.....

DUNIA NI MSONGAMANO

KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI
Umejibu vyema!
 
Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.

Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.

Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?

Nway, I think we have to change!
Dah yaan wanatia aibu sana na hivyo kikaptura
 
Back
Top Bottom