The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mimi hata sipajui Lumumba, wanaoshupalia PM kuondolewa ni Chadema πunalishwa uharo asubuhi Lumumba unakuja kututapikia hapa.. naona mnataka kumtoa waziri mkuu
Ndio hivyo hivyo sasa jambo hilo linahitaji sherehe?Vishikwambi vya Sensa labda
Inahitaji hafla? Si ni kutoa tuu maelekezo?Vishkwambi vimetumika kwenye sensa, wanaenda kupewa walimu sasa rasmi
Bora hivyo vinaonekana kwa macho ila mimi naona inakabiliwa zaidi na mdororo wa brain power.Nchi inakabiliwa na mdororo mkubwa wa kiuchumi na njaa kali Sana. Ila wengi wetu hatujui
Wa serikaliWalimu gani? Wa serikali au wote na wa private.
Eti na helikopta juu,hii haikubariki ni matumizi mabaya ya pesa za Umma..Hata kutangaza idadi ya watu ilikua ni kuomba vyombo vya habari saa moja kamili jioni Rais anakwenda kutangaza hiyo idadi huku tv zote na radio zikiwa hewani wananchi wasikie na , teaser ingekua Tangazo Rasmi la mama kwa watanzania tena tangazo hilo lingeenda hewani kama wiki moja hivi, sasa unashangaa gharama walizotumia wakati visima na madawati hayatoshi unaona kabisa dhamira yao kwa Taifa sii njema