Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Siyo kweli. Aliyeiharibu ucchumi ni jini jiwe. Mama anaupiga mwingi kututoa kwenye shimo alimotuacha shetani aliyekuwa ikulu
Hata hivyo neno mdororo ni linatumika vibaya,hakuna mdororo wowote wa Uchumi..

Hoja ya msingi ni kwamba tuwe na matumizi mazuri ya pesa.
 
We jamaa!

We si ulikuwa unashangilia ulambaji asali wewe!?

Si ndio tunalamba sasa!!?

Au!

Tena itakuwa Billion sita nyingine!!
 
Moja kwa Moja kwenye mada.

Sipingi kutolewa Vishikwambi ila naona sio sawa kuweka sherehe jambo la kutoa maelekezo na maagizo tu.

Kila kitu viongozi wanataka kongamano hafla nk,vya nini hivyo?

Kwamba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atakuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa ugawaji vishikwambi. Hii Nchi haitakuja kuishiwa vituko.

Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Wacha inyeshe tujue panapovuja, wananchi wafunge Mikanda ila wao walegeze.

Huenda Tanzania inakabiliwa na mdororo wa Brain power kwa watu wake.[emoji116]

View attachment 2405822View attachment 2405687
Wameshagawa hukoo kwenu???
 
Back
Top Bottom