Hivi suala la kugawa vishkwambi linahitaji sherehe kweli?

Siyo kweli. Aliyeiharibu ucchumi ni jini jiwe. Mama anaupiga mwingi kututoa kwenye shimo alimotuacha shetani aliyekuwa ikulu
Hata hivyo neno mdororo ni linatumika vibaya,hakuna mdororo wowote wa Uchumi..

Hoja ya msingi ni kwamba tuwe na matumizi mazuri ya pesa.
 
We jamaa!

We si ulikuwa unashangilia ulambaji asali wewe!?

Si ndio tunalamba sasa!!?

Au!

Tena itakuwa Billion sita nyingine!!
 
Wameshagawa hukoo kwenu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…